Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

KEISHA AJIFUNGUA MTOTO WAPILI….”NI WA KIUME”

$
0
0
TUMA TUKIO LOLOTE KATIKA MAIL/ salimmore@yahoo.com au WHATSAPP NO: +255712222244
Mtoto wa Keisha
Msanii nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini,Khadija Shaban maarufu kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.
Keisha amesema anashukuru Mungu amejifungua salama na mtoto anaendelea vizuri…..“Nimejifungua mtoto mwingine wa kiume katika hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni. 
 Keisha akiwa amelala na mtoto wake
Namshukuru Mungu nimejifungua salama na mtoto anaendelea vizuri,” amesema.
Keisha anawatoto wawili…..Wakwanza ni wa kiume alijifungua kwa njia ya upasuaji na kumpa jina la Jam Key Machi 2011,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles