Quantcast
Channel: CHUMA BLOG

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU: Siku kama hii ya leo

KUMBUKUMBU: Siku kama hii ya leo, mwaka 1976, kiongozi wa kimapinduzi wa China, Mao Zedong afariki dunia huko Beijing, akiwa na miaka 82Chuma Blog

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi limemtaka dereva wa Tundu Lissu ajisalimishe kwa DCI Dodoma...

DODOMA: Jeshi la Polisi limeyakamata magari 8 aina ya Nissan Patrol kwa ajili ya uchunguzi wa tukio la kupigwa kwa risasi Tundu Lissu.Jeshi la Polisi pia limemtaka Dereva wa Mbunge wa Singida...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Mkoa wa Kusini Pemba linamshikilia Mwanamke mmoja kwa tuhuma za...

ZANZIBAR: Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba linamshikilia Mwanamke mmoja kwa tuhuma za kukutwa na kete 3621 za Dawa za Kulevya.Jeshi la Polisi limesema kuwa idadi hiyo waliyoikamata ni kubwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimpatia...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimpatia kitafunwa Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh abubakary Zubeiry Ally wakati wa hafla ya kumuapisha Profesa Ibrahim Hamis Juma kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARUSHA: Kichanga kinachokadiriwa kuwa na umri wa siku moja kimeokotwa kikiwa...

ARUSHA: Kichanga kinachokadiriwa kuwa na umri wa siku moja kimeokotwa kikiwa kimefariki na kutelekezwa kwenye mfereji wa kupitisha maji machafu katika mtaa wa Ali Nyanya huko Unga Limited.Vyombo vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 8 wafariki kwa kupigwa risasi na mtu mmoja ambaye pia ameuawa kwa...

MAREKANI: Watu 8 wafariki kwa kupigwa risasi na mtu mmoja ambaye pia ameuawa kwa kupigwa risasi na Askari wa Polisi. .Watu hao kwa pamoja walikuwa wakiangalia mpira wa miguu katika nyumba moja iliyopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo ametembelea hospitali ya Jeshi la Ulinzi la...

Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo ametembelea hospitali ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Lugalo,Jijini Dar es Salaam nakumjulia hali Meja Jenerali Mstaafu Vincent Mritaba aliyelazwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Spika Job Ndugai amesema anao uwezo wa kumzuia Mbunge wa Kigoma Mjini

BUNGENI, DODOMA: Spika Job Ndugai amesema anao uwezo wa kumzuia Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ambaye pia ni kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo) kuzungumza chochote Bungeni miaka yote ya Ubunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi limeripoti kumuua anayedaiwa kuwa kinara wa ujambazi katika mabenki

DAR: Jeshi la Polisi limeripoti kumuua anayedaiwa kuwa kinara wa ujambazi katika mabenki, Rashid Kapela ambaye pia anadaiwa ndiye aliyeongoza mauaji ya askari 8 huko Kibiti..Kwa mujibu wa Kamanda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu yamuachia HURU Mfanyabiashara Yusuph Manji

DAR: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu yamuachia HURU Mfanyabiashara Yusuph Manji katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili. DPP asema hana nia ya kuendelea nayo.Mnamo Julai 5, 2017, Mahakama ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watathmini wa Almasi wa Serikali, kutoka Wizara ya Nishati na Madini...

KISUTU, DAR: Watathmini wa Almasi wa Serikali, kutoka Wizara ya Nishati na Madini wamefikishwa Mahakamani wakikabiliwa na mashitaka ya kusababisha hasara ya Sh. bilioni 2. 4..Upelelezi wa shauri hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askofu Gwajima ameshinda kesi ya kushindwa kuhifadhi silaha

KISUTU, DAR: Askofu Gwajima ameshinda kesi ya kushindwa kuhifadhi silaha dhidi ya Jamhuri. Hakimu aitaka Jamhuri kumrudishia mkoba wake wenye silaha hiyo.Akisoma hukumu ya kesi hiyo ya mwaka 2015,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge waenda hospitali kumjulia hali Tundu Lissu huko Nairobi

KENYA: Mbunge wa Singida, Lazaro Nyalandu (CCM) akiwa na Wabunge wa CHADEMA wakiwemo Godbless Lema na Peter Msigwa, alipoenda hospitali kumjulia hali Tundu Lissu huko Nairobi.Lazaro Nyalandu na Tundu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizotufikia UNGUJA: Kituo cha Mafuta cha United Petroleum kimeungua...

UNGUJA: Kituo cha Mafuta cha United Petroleum kimeungua moto. Kikosi cha zima moto kinaendelea na zoezi la ukoajiKituo hicho ni mali ya Mfanyabiashara Said Salim BakhresaChuma Blog

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais John Magufuli ametoa nafasi mpya za ajira 3,000

Rais John Magufuli ametoa nafasi mpya za ajira 3,000 kwa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na kusema waliopitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT ) wapewe kipaumbele kwenye ajira hizo.Rais ameyasema hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREKANI:Zaidi ya watu 50 wameuawa

MAREKANI:Zaidi ya watu 50 wameuawa na takriban 200 wajeruhiwa kwenye ufyatuaji wa risasi wakati wa tamasha la muziki huko Las Vegas,Marekani.Chuma Blog

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARUSHA: Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Alexander Mnyeti akana tuhuma zilizotolewa...

ARUSHA: Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Alexander Mnyeti akana tuhuma zilizotolewa kupitia picha ya Video na Mbunge Joshua Nassari kuwa aliwarubuni Madiwani 10 wa CHADEMA ili wahamie CCM.Asema video zote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYA: Mtu mmoja amefariki dunia katika mji wa Siaya wakati Jeshi la Polisi...

KENYA: Mtu mmoja amefariki dunia katika mji wa Siaya wakati Jeshi la Polisi lilipokuwa likiwatawanya wafuasi wa upinzani wanaoandamana dhidi ya Tume ya Uchaguzi.Mtu huyo alianguka na kufariki wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHINYANGA: Mzee Joseph Sahn(60) afia kwa Mganga wa Kienyeji akipatiwa matibabu

Mzee Joseph Sahn(60) afia kwa Mganga wa Kienyeji akipatiwa matibabu ya kuongeza nguvu za kiume.Yadaiwa Mganga huyo alikuwa akimuwekea dawa ya unga kupitia tundu la uume na kuanza kuisukuma kwa kutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezifunga ofisi za kampuni ya...

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezifunga ofisi za kampuni ya mfanyabiashara Yusufu Manji kutokana na kudaiwa Sh 12.2 bilioni.Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Richard Kayombo amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli akihutubia Mkutano wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa(ALAT

Rais Magufuli akihutubia Mkutano wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa(ALAT), asema "Ungekuwa Mimi umekuta LiTanzania liko hivi uozo kila kona ungefanyaje?. Ningekuwa Mhehe ningejinyonga ningesema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy Birthday Rais Mstaafu wa TAnzanaia Jakaya Mrisho Kikwete

Siku kama ya leo, miaka 67 iliyopita, Rais Mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete alizaliwa kijijini Msoga mkoani Pwani.Chuma Blog

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGALI, RWANDA: Mwanasiasa wa upinzani, Diane Rwigara, mama yake na dada yake...

KIGALI, RWANDA: Mwanasiasa wa upinzani, Diane Rwigara, mama yake na dada yake wamefikishwa mahakamani  kwa mara ya kwanza wiki mbili baada ya kushikiliwa na polisi.Watatu hao wameshitakiwa kuchochea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANYARA: Watu saba wamekufa papo hapo na wengine 14 wamejeruhiwa

MANYARA: Watu saba wamekufa papo hapo na wengine 14 wamejeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Noah walilokuwa wakisafiria kutoka kwenye sherehe za kufungandoa katika mji wa Halmashauri ya wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANZIBAR: Askofu Agustino Shao amfananisha Rais Magufuli na Robert Mugabe wa...

ZANZIBAR: Askofu Agustino Shao amfananisha Rais Magufuli na Robert Mugabe wa Zimbabwe kwa uwajibikaji na kuwataka watanzania waendelee kumuunga mkono..."Hatutaweza kusema tunaimaliza rushwa wakati...

View Article