CHUMA BLOG
![]()
Tukiwa tumebakisha siku chache za watani wajadi, Simba na Yanga kuingia Dimbani, MO Dewji ameshaanzisha tambwe zake kwa klabu ya Yanga.
Mshabiki wa Simba na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group), Mohammed Dewji ‘MO’ ameandika ujumbe wa utani kwa mashabiki wa Yanga kwa kusema kwamba “Yanga lazima wakae, “Kandambili mahali pake ni uwani #SimbaNguvuMoja,” aliandika MO.
Follow
Mohammed Dewji MO ✔@moodewji
Yanga lazima wakae, kandambili mahali pake ni uwani.#SimbaNguvuMoja

Tukiwa tumebakisha siku chache za watani wajadi, Simba na Yanga kuingia Dimbani, MO Dewji ameshaanzisha tambwe zake kwa klabu ya Yanga.
Mshabiki wa Simba na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group), Mohammed Dewji ‘MO’ ameandika ujumbe wa utani kwa mashabiki wa Yanga kwa kusema kwamba “Yanga lazima wakae, “Kandambili mahali pake ni uwani #SimbaNguvuMoja,” aliandika MO.
Follow

Yanga lazima wakae, kandambili mahali pake ni uwani.#SimbaNguvuMoja