Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

HUU NDIO UTANI WA MO DEWJI KWA MASHABIKI WA YANGA

$
0
0
CHUMA BLOG

Tukiwa tumebakisha siku chache za watani wajadi, Simba na Yanga kuingia Dimbani, MO Dewji ameshaanzisha tambwe zake kwa klabu ya Yanga.
Mshabiki wa Simba na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group), Mohammed Dewji ‘MO’ ameandika ujumbe wa utani kwa mashabiki wa Yanga kwa kusema kwamba “Yanga lazima wakae, “Kandambili mahali pake ni uwani #SimbaNguvuMoja,” aliandika MO.
Follow
Mohammed Dewji MO ✔@moodewji


Yanga lazima wakae, kandambili mahali pake ni uwani.#SimbaNguvuMoja

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles