Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Makabuli Ya Kora ''Morogoro'' Yasafiswa Kwa Kuchomwa Moto Je Ni Sahihi....

$
0
0
CHUMA BLOG




                         Na Dustan ,Morogoro.
Baadhi ya majirani wanaoishi jirani na Makabuli hayo baada ya kushuhudia makabuli hayo yakiteketea kwa Moto

Wakizungumza baadhi ya wananchi hao walisema.

" Hii sio sawa  moto umeunguza mpaka alama'kumbukumbu' za maji ya marehemu sasa ndugu wa marehemu watakapo amua kuja kudhuru kwenye makaburi ya wapendwa wao watawatambuaje ili hali alama za majina ya wapendwa wao zimeunguzwa na moto"Alisema mmoja wamashuhuda hao Juma Athuman

Baadhi ya wananchi  walipoulizwa kama wanajua sababu za wahusika kuchoma makaburi hayo  walisema.

" Tunahisi moto huo umechomwa na mwendawazimu ambaye hupenda kukaa kwenye makabuli hayo huku akivuta sigara hivyo kutokana na ukavu wa majani baada ya kutupa kichungi cha siraha kilizaa moto huu  "alisema mmoja wawananchi wa eneo hilo aliyeomba hifadhi ya jina lake.

lkumbukwe siku za nyuma Uongozi wa Kanisa Katoriki Jimbo la Morogoro kupitia Jumuiya zake za mitaa 'Vigango' walijiwekea zamu za kusafisa makaburi hayo Wakristo na Waislam kila mwezi, ambapo kwa sasa jambo hilo halipo tena jambo lililosababisha makabuli hayo kuzingirwa na msitu mkubwa.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles