CHUMA BLOG
Ni kama sehemu yenyewe inavofamika kwa jina la kimarufu Mwembesongo (Mji mpya ) Morogoro
Leo imetokea tukia la kushangaza baada ya mtu moja aliyejulikana kwa jina moja tu la Juma (Wavigogo) kupanda juu ya mti kwa muda nakukataa kushuka juu ya mti huo, hadi Chuma Blog inafika katika eneo ilo kijana huyo alikuwa juu ya mti.
Tukio hilo lilikusanya watu wengi na kila moja alikuwa na maneno yake kwani watu walikuwa na mshangao mkubwa kutokana na watu wengi walikuwa wakimjua huyo kijana. Kila moja alikuwa na maneno yake yakusema kuwa anamajini wengine wakisema kuwa ulevi. Baada ya watu wa usalama kufika na kutaka kumshusha alikuwa akitembea juu ya mti akiama matawi na kuwafanya watu wakitengo cha zima moto,Tanesco na Polisi kushindwa kumshusha nakuwa na wakati mgumu juu yake.
Mpaka Chuma Blog inatoka katika eneo hilo kijana huyo alikuwa ajashuka juu ya mti,tunaendelea kufatilia tukio hilo
Ni kama sehemu yenyewe inavofamika kwa jina la kimarufu Mwembesongo (Mji mpya ) Morogoro
Leo imetokea tukia la kushangaza baada ya mtu moja aliyejulikana kwa jina moja tu la Juma (Wavigogo) kupanda juu ya mti kwa muda nakukataa kushuka juu ya mti huo, hadi Chuma Blog inafika katika eneo ilo kijana huyo alikuwa juu ya mti.
Tukio hilo lilikusanya watu wengi na kila moja alikuwa na maneno yake kwani watu walikuwa na mshangao mkubwa kutokana na watu wengi walikuwa wakimjua huyo kijana. Kila moja alikuwa na maneno yake yakusema kuwa anamajini wengine wakisema kuwa ulevi. Baada ya watu wa usalama kufika na kutaka kumshusha alikuwa akitembea juu ya mti akiama matawi na kuwafanya watu wakitengo cha zima moto,Tanesco na Polisi kushindwa kumshusha nakuwa na wakati mgumu juu yake.
Mpaka Chuma Blog inatoka katika eneo hilo kijana huyo alikuwa ajashuka juu ya mti,tunaendelea kufatilia tukio hilo