Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Mfanyabiashara Morogoro Adaiwa Kumtoa Jicho Mpenzi Wake

$
0
0
CHUMA BLOG
Mmiliki wa Hoteli ya Tax Palace ya mkoani Morogoro, Focus Munishi ameingia matatani  baada ya kudaiwa kumpiga msichana anayedai kuwa ni mpenzi wake na kumharibu jicho kiasi cha kusababisha liondolewe.

Kwa sasa msichana huyo, Nanjiva Geofrey amepata ulemavu kutokana na jicho hilo kuondolewa na madaktari baada ya kuharibika kutokana na kipigo hicho.
Kisa:
Nanjiva alisema wakati wa tukio hilo,Uhusiano wao ulikuwa umelegalega na alikumbana na kipigo hicho wakati alipoenda ofisini kwake huyo kumweleza masuala ya masomo ya moja wa watoto wake (Munishi0 watatu ambao mama yao alishafariki.
Siku hiyo, Nilikuta mlango upo wazi. Nilipo ingia tu aliaza kuvua saa yake na kuaza kunipigangumi za uso hadi nikaanguka chini"Alisema Nanjiva baadaye akachukua viatu virefu nilivyokuwa nimevaa na akavitumia kunpigia usoni,kichwani na kusababisha damu zitoke kwa wingi.akaondoka na kufunga mlango kwa nje.
Kama dakika 40 akiwa ameongozana na polisi watatu,Mmoja wa kike na mmoja wao kati ya wawili wengine akiwa na silaha.
Kamanda wa polisi Mkoa wa Morogoro , Ulrich Matei amethibitisha kutokea kwa tukio hilo,wakati mfanyabiashahuyo amekataa kuzungumzia suala hilo akisema liko kwenye vyombo vya sheria. 

Habari hii: Na mwananchi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles