CHUMA BLOG
Saida Karoli anaogopa kugusa hata jani, akidhanini nyoka anayetaka kumng’ata
Ni kwasababu licha ya kufanya vizuri kimuzi miaka kadhaa iliyopita, hakupata chochote na bado anaishi katika mazingira magumu.“Niliumizwa kuanzia mwanzo, ni vitu vichachenilivyovipata, kama mkibahatika waandishi wahabari wenye makamera na wakija kwanguwatashuti kulingana na nilivyo, wataona mazingira ninayoishi ndipo watanzania watazidikufunguka zaidi,” Kwa sasa Saida Karoli anaishi jijini Mwanza. Hivi karibuni amerejea tena kwenye midomo ya watu baada ya Diamond kurudia wimbo wake Salome.
