Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Simba Lazama Mbele ya Timu ya Mwadui Nakuipa Yanga Ubingwa wa Ligi ya Vodacom

$
0
0
CHUMA BLOG
  Simba imekubali kichapo kitakatifu toka kwa timu ya Mwadui ya Shinyanga inayofundishwa na Kocha wa Zamani wa Simba Julio..Kichapo hicho cha goli moja bila goli lililofungwa na Mchezaji Jamal Mnyate Dakika ya 73 linaifanya Yanga Kutangazwa Mabigwa wa ligi ya Vodacom kwa vile hakuna timu inayoweza kufikisha point alizonazo Yanga....

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles