Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Browsing all 2614 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba Lazama Mbele ya Timu ya Mwadui Nakuipa Yanga Ubingwa wa Ligi ya Vodacom

CHUMA BLOG  Simba imekubali kichapo kitakatifu toka kwa timu ya Mwadui ya Shinyanga inayofundishwa na Kocha wa Zamani wa Simba Julio..Kichapo hicho cha goli moja bila goli lililofungwa na Mchezaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Salama Amtetea Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

CHUMA BLOGSALMA Kikwete, Mke wa Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete ameonesha kukerwa na wale wanaoshambulia utawala wa mumewe (Rais Kikwete) na kwamba, hakuna sababu ya kufanya hivyo.Mama Salma alisema hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Afungua Jengo la Kitega Uchumi la Mfuko wa Pensheni PPF Jijini...

CHUMA BLOGRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akikata utepe kuzindua rasmi, Jengo la Kitegauchumi la Mfuko wa Pensheni (PPF) lililopo Mtaa wa Korido Jijini Arusha leo Mei...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESSY ATIA DOLEGUMBA YANGA

CHUMA BLOGBeki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy (katikati) akitia dole gumba kwenye fomu za mkataba wa kujiunga na YangaKuna msemo wa Kiswahili unasema ‘ukisusa wenzio wala’, msemo huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa: Bado Nipo Nanyi Kuwaletea Maendeleo

CHUMA BLOGWaziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amewahakikishia wananchi wa Monduli kuwa bado yupo nao katika kuwaletea maendeleo. Lowassa ambaye alikuwa mbunge wa Jimbo la Monduli karibu miongo miwili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tani 622 za Sukari Zakamatwa Morogoro, RC Dodoma Aagiza Tani 154 Ziuzwe Kwa...

CHUMA BLOG\Suala la uhaba bandia wa sukari limeendelea kuitikisa nchi, lakini vyombo vya ulinzi na usalama vikifanya kazi nzuri baada ya kuwatia nguvuni wafanyabiashara wengine, waliohodhi bidhaa hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA BUNGENI:Mussa Azzan Zungu Achaguliwa Kuwa Tena Mwenyekiti wa Bunge la...

CHUMA BLOGKUTOKA BUNGENI: Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azzan Zungu amechaguliwa leo kuwa tena Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Akitoa neno la shukrani Zungu amesema nafasi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Yavunja Mkataba Na UDA

CHUMA BLOGHatimaye uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, umevunja mkataba wa uwekezaji wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam(UDA) na Kampuni ya Simon Group Limited inayomilikiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Exclusive! Lady Jaydee Kumuanika Mpenzi wake wa sasa

CHUMA BLOGExclusive! Lejendari wa Bongo Fleva kwa zaidi ya miaka kumi na tano, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide’, anatarajia kumuanika mrithi wa aliyekuwa mumewe, Mtangazaji wa Kituo cha Radio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Mauaji Msikitini Mwanza: Kundi la Kigaidi la ISIS lahusishwa

CHUMA BLOGYADAIWA ni kisasi baada ya Polisi kuwakamata wanaharakati wa IS saa 24 kabla."baada ya swala kumalizika, watu hao waliingia na kuwaamuru kulala chini huku wakitoa bendera nyeusi na maandishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yajibu Hoja za Kivuko cha MV Dar es Salaam na Uuzwaji wa Nyumba Zake

CHUMA BLOGSerikali imejibu hoja za upinzani kuhusu uuzwaji wa nyumba za Serikali na kutetea ununuzi wa kivuko cha MV Dar es Salaam ambacho kilitakiwa kufanya safari zake kati ya Dar na Bagamoyo.Hoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu hapa Mfanyabiashara aliye Tumbulia Na Rais Magufuli Aliyekuwa Akiiba...

CHUMA BLOGRAIS Dk. John Magufuli amemtumbua mfanyabiashara mmoja maarufu Dar es Salaam, aliyebainika kufanya miamala ya fedha ya Sh milioni saba hadi nane kwa kila baada ya dakika moja. Kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majambazi Watatu Wauawa Huko Tanga

CHUMA BLOGPOLISI mkoani Tanga imewaua watu watatu katika mapigano ya risasi wanaodaiwa kuhusika katika mauaji ya watu jijini humo wakiwamo watu wanane waliochinjwa katika Kitongoji cha Kibatini, Kata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yaipigia Magoti ACT Wazalendo

CHUMA BLOGMBOWE :-CHADEMA TUTAUNGANISHA NGUVU NA ACT WAZALENDO KUPINGA UDIKTETA.Waswahili walisema usitukane Mamba ujavuka mto, msema huo waelekea kutimia kwa Freeman Mbowe na cdm yake kufuatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC. Makonda kujenga makao makuu ya BAKWATA kwa bilioni 5 na milioni 80

CHUMA BLOGMakonda kujenga makao makuu ya bakwata kwa bilioni 5 na milioni 80 , akabidhi ramani ya jengo leo, ujenzi kukamilika mwaka huuLeo mkuu wa mkoa wa dar mh.Paul makonda amekabidhi ramani ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA NA VIONGOZI MBALI MBALI WATOA HESHIMA ZA MWISHO...

CHUMA BLOG Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Aboud Jumbe likiwasili nyumbani kwa marehemu Migombani, Zanzibar Watoto, Ndugu, jamaa na Viongozi mbali mbali wakipokea mwili wa Marehemu Mzee Aboud Jumbe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli Ya Manji Baada Ya Taarifa Kwamba Amejitoa Yanga

CHUMA BLOGMwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji (kushoto).Baada ya taarifa kwamba Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amejiuzulu uenyekiti kuzagaa, SALEHJEMBE ilifanya kila juhudi kumpata na mwenye akazungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Afya Dk. Kigwangalla afanya ukaguzi wa kushtukiza kituo cha...

CHUMA BLOGNaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.Dk. Hamisi Kigwangalla muda huu amefanya ziara ya kushtukiza katika Taasisi ya kijamii inayojishughulisha na masuala ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Edgar Lungu Ashinda Uchaguzi Zambia

CHUMA BLOG  Rais Edgar Lungu.RAIS Edgar Lungu ametangazwa kuwa mshindi katika uchaguzi wa urais nchini Zambia kwa kupata asilimia 50.35 ya kura na kumshinda mpinzani wake, Hakainde Hichilema aliyepata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania,Kenya na UK Leo Jumanne,Agosti 16,2016

CHUMA BLOG TANZANIA KENYA UKChuma Empire

View Article
Browsing all 2614 articles
Browse latest View live