Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

MTOTO WA OSAMA KAMA BABA YAKE,AANZA KUONYESHA CHECHE KWA TAMKO KALI LA DAKIKA 26

$
0
0
CHUMA BLOG
Ama kweli mtoto wa nyoka huwa ni nyoka  na Chura hawezi kuzaa Ng'ombe Mtoto wa Osama Anayeitwa Hamza Bin Laden ameonyesha kuanza kufata nyayo za Marehemu baba yake, Ametoa ujumbe wa nne kwa dunia kwa kutumia dakika 26.
Osama Bin Laden's son Hamza Bin Laden has called for Mulisms to unite against Saudi Arabia in his latest attempt to establish himself as his father's heir
Hamza Bin Laden
Ambapo kundi la kigaidi la AL QAEDA ndiyo walioachia ujumbe huo wa mtoto wa Gaidi aliyetikisa Dunia Osama Bin Laden.

Katika Ujumbe Huo  Hamza anasisitiza waislamu kuungana na Kupambana na Saudi Arabia ambao wamekuwa kama Kibaraka wa mataifa ya Magharibi. Hamza katika ujumbe huo kuwa anaamini waislamu wote ni Osama (Wafuasi wa Sera za Osama) kwa hiyo ni lazima waungane kuwapinga Saudi Arabia na sera zote za Nchi za Magharibi kama Marekani.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles