Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Ratiba Kamili ya Fiesta 2016 Mikoa yote #Imoooooooo!

$
0
0
CHUMA BLOG
Baada ya Tigo kutambulishwa kama mdhamini mkuu wa mwaka huu wa shughuli nzima ya Fiesta, Basi Uongozi wa Tigo na Clouds Fm wametangaza kuwa mkoa wa MWANZA ndiyo mkoa ambao FIESTA itaanzia.

Mwaka huu pia FIESTA itafanyika katika miji 15 ya Tanzania, Ikumbukwe mwaka jana FIESTA haikufanyika na sababu kubwa ikisemekana kuwa ni shughuli za Uchaguzi Mkuu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles