Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Wema Sepetu....Ampigia Chapuo Kevin Hart MTV Mama Badala ya Idriss

$
0
0
CHUMA BLOG
Adui yako muombee njaa – Wema Sepetu na Idrs Sultan ngoma bado ngumu.

Wema amepigilia msumari wa moto kwa kupost picha ya mchekeshaji wa Marekani, Kevin Hart ambaye anawania nafasi ya kuhost kwenye tuzo za MTV MAMA mwaka huu na Idris Sultan kama mwanaunme anayempenda #MCM (Man Crush Monday. “MCM….😏😏😏,” ameandika Wema kwenye picha hiyo.

Kitendo hicho cha madam Sepetunga kimetafsiriwa ni kama anampigia chapuo mchekeshaji huyo wa Marekani kushinda nafasi hiyo na kumponda kiaina ex wake, Idris.

Hivi karibuni wawili hao walionekana mahusiano yao kuingia doa na Idris akijikuta akiifunga akaunti yake ya Instagram kwa muda baada ya kuambulia matusi kutoka kwa watu wanaojiita ni Team Wema.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles