CHUMA BLOG
Brown Mauzo ambaye awali alikuwa akiishi Mombasa kwa sasa amehamishia makazi yake jijini Nairobi. Aliwahi kufanya kolabo Bongo na mastaa kibao wakiwemo, Rich Mavoko na Bob Junior.

Brown Mauzo.
“Hizo maneno ndiyo kwanza nazisikia huku TZ, Kiba ninavyomjua ni mtu poa sana. Uongozi wangu na wake ulikutana na kufanya naye mazungumzo ya kolabo akakubali na kusema kuwa nina kipaji kikubwa sana,” alisema Brown Mauzo.Brown Mauzo ambaye awali alikuwa akiishi Mombasa kwa sasa amehamishia makazi yake jijini Nairobi. Aliwahi kufanya kolabo Bongo na mastaa kibao wakiwemo, Rich Mavoko na Bob Junior.