Siri ya Mama Diamond Kutoka na Muarabu Yafichuka....
CHUMA BLOGImefichuka kuwa mama Diamond alitoka na Muarabu na kuzaa mtoto wa kike ambaye sasa ni mkubwa.Mtoto huyo amesema kuwa huwa hapendi kufahamika ndio maana anajitahidi kuweka 'low...
View ArticleBrown Mauzo Wakenya wengi wanajua mi ni Mtanzania
CHUMA BLOG Brown Mauzo.“Hizo maneno ndiyo kwanza nazisikia huku TZ, Kiba ninavyomjua ni mtu poa sana. Uongozi wangu na wake ulikutana na kufanya naye mazungumzo ya kolabo akakubali na kusema kuwa nina...
View ArticleUnyama wa Kutisha: Watafiti Watatu toka Chuo cha Selian Wauawa na Wananchi...
CHUMA BLOGYowe ya kuvamiwa na wanyonya damu , iliyopigwa na wanawake waliokuwa wakichimba chumvi katika Kijiji cha Iringa-Mvumi wilayani Chamwino, Mkoa wa Dodoma ndiyo iliyosababisha kuuawa kwa...
View ArticleBarakah The Prince, Alikiba - Nisamehe [Official Video]
CHUMA BLOGNi Single mpya iitwayo Nisamehe ambayo ilirekodiwa April 27, 2016 kwenye studio za producer Emma The Boy na wakali kutoka kwenye label ya Rockstar 4000 Baraka The Prince na AlikibaItazame...
View ArticleACT-Wazalendo waitisha mkutano wa kidemokrasia Kupigania Upatikanaji wa...
CHUMA BLOGChama cha ACT- Wazalendo kimepanga kuwasha moto mjadala wa Katiba mpya katika mkutano wake kidemokrasia kilioitisha jijini Dar es Salaam Oktoba 8. Mkutano huo unalenga kufufua mchakato wa...
View ArticleDiamond Asherekea Birtday yake Akiwa Uchi
CHUMA BLOGDiamond Platnumz alisherekea birthday yake kwa kuvua nguo zote na kubaki na ya boxer tu alipokuwa anasherekea siku yake ya kuzaliwa Tazama Video:Chuma Empire
View ArticleTIMU ya Vijana Serengeti Boys Yashindwa Kufuzu Fainali za Africa
CHUMA BLOGTimu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 Serengeti Boys imeshindwa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika nchini Madagascar mwaka 2017 baada ya kupoteza mchezo wake wa mwisho wa kufuzu...
View ArticleBREAKING News : Wafanyabiashara Wa Soko Kuu Morogoro wafunga njia Tatu Kuu
CHUMA BLOG Soko kuu la mjini Morogoro lenye Miaka 63Maeneo ya Runa Morogoro, wafanya biashara wamefunga njia tatu kuu za mjini Hapo akuna kupita Gari wala Pikipiki, Kwa shindikizo la kukosa sehemu ya...
View ArticleTahadhari Kwa Wadada Mnaopenda Kuvaa Shanga Kiunoni...
CHUMA BLOGBwana Yesu asifiwe!!!Wanawake wengi wanapenda kuvaa shanga kiunoni wakiamini zinawavutia wanaume wengi katika mapenzi.Napenda kutoa tahadhali kwa wanaopenda kuzivaa hasa kiunoni kuwa asilimia...
View ArticleJamhuri Kiwelu Julio Ametangaza Rasmi Kuachana na Kazi ya Ukocha
CHUMA BLOGKocha wa klabu ya Mwadui FC ya Shinyanga Jamhuri Kiwelu Julio, October 2 2016 ametangaza kujiuzulu kufundisha soka la nchini Tanzania kufuatia kutoridhishwa na maamuzi yanayofanywa na marefa...
View ArticleKamanda Sirro apokea hundi ya Milioni 50
CHUMA BLOGMkurugenzi wa shirika hilo kupitia Kitengo cha Idara ya Uhusiano na Masoko NSSF, Godius Kabyara (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya Sh, 50,000,000 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es...
View ArticleBaraza la Wadhamini CUF Lagoma Kumtambua Profesa Lipumba,Lapanga Kufunga...
CHUMA BLOGTAMKO LA BODI YA WADHAMINI YA THE CIVIC UNITED FRONT (CUF – CHAMA CHA WANANCHI) KUFUATIA KIKAO CHAKE KILICHOFANYIKA JANA, TAREHE 2 OKTOBA, 2016Kwa kuzingatia hali iliojitokeza katika chama...
View ArticleAliyetoa taarifa za maiti kufufuka ikiwa mochwari ashikiliwa na Polisi
CHUMA BLOGJeshi la polisi mkoa wa Singida, linamshikilia askari mgambo mwajiriwa hospitali ya mkoa, MG 7822 Emmanuel Daghau (42) kwa tuhuma ya kutoa taarifa za uongo juu ya maiti kufufuka ikiwa kwenye...
View ArticleTingatinga Lafukua Mamilioni Pesa Arusha
CHUMA BLOG KAMA wewe unadhani huna fedha, basi kuna wengine ambao wamezichimbia ardhini, tena kwa mamilioni. Benki ya chini ya ardhi iliyosheheni mamilioni ya fedha, zilizoswekwa ndani ya mifuko myeusi...
View ArticleWameongezeka watanzania watatu kwenye list ya kuwania tuzo MTV MAMA 2016
CHUMA BLOGSept 21, 2016 majina ya mwanzo ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016 yalitajwa huku Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz na kundi la Navy Kenzo pamoja na Alikiba ndio wasanii wa...
View ArticlePICHA : Uvunjwaji wa soko kuu mkoa wa Morogoro Na Muonekano wa Sasa
CHUMA BLOG Uvunjwaji wa soko kuu la Mkoa wa Morogoro unaoendelea sasa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa, umelalamikiwa na baazi ya wafanya...
View Article