CHUMA BLOG
Maeneo ya Runa Morogoro, wafanya biashara wamefunga njia tatu kuu za mjini Hapo akuna kupita Gari wala Pikipiki, Kwa shindikizo la kukosa sehemu ya kenda kufanyia biashara baada ya atua ya manspaa ya Morogoro Mjini kuitaji kubomolewa kwa Soko hilo kupisha ujezi wa jengo jipya.
PATA KUSIKILIZA MAOJIANA NA SHUHUDA
Soko kuu la mjini Morogoro lenye Miaka 63
Maeneo ya Runa Morogoro, wafanya biashara wamefunga njia tatu kuu za mjini Hapo akuna kupita Gari wala Pikipiki, Kwa shindikizo la kukosa sehemu ya kenda kufanyia biashara baada ya atua ya manspaa ya Morogoro Mjini kuitaji kubomolewa kwa Soko hilo kupisha ujezi wa jengo jipya.
PATA KUSIKILIZA MAOJIANA NA SHUHUDA