Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

PICHA : Uvunjwaji wa soko kuu mkoa wa Morogoro Na Muonekano wa Sasa

$
0
0
CHUMA BLOG
 Uvunjwaji wa soko kuu la Mkoa wa Morogoro unaoendelea sasa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa, umelalamikiwa na baazi ya wafanya biashara wa soko hilo kwa madai kwamba hawajapewa muda wa kutosha. Akiongea na ubalozini.blogspot.com katika eneo la soko hilo, mmoja ya wafanya biashara hao aliyejitambulisha kwa jina la ABdallah Saidi amesema, wamesikitishwa na hatua zilizofanywa na manispaa ambazo zimeleta asara kubwa kwa wafanya biashara hao




Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles