Quantcast
Browsing all 2614 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yaridhia Utekelezaji Wa Ujenzi Wa Mradi Wa Bomba La Mafuta

CHUMA BLOGSERIKALI ya Tanzania imeridhia rasmi utekelezaji wa mradi ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Kabaale katika Wilaya ya Hoima nchini Uganda hadi bandari ya Tanga nchini Tanzania.   Uamuzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwaheri Shimon Peres Na Safari Ndefu Ya Kisiasa Israel

CHUMA BLOG Marehemu Shimon Peres enzi za uhai wake.Septemba 13, 2016 vyombo vingi vya habari duniani kote vilitawaliwa na habari ya kuugua ghafla kwa mwanasiasa nguli wa nchini Israel, Shimon...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu apokea misaada zaidi ya kuwasaidia waathirika wa tetemeko Kagera

CHUMA BLOGWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea zaidi ya sh. milioni 760 zikiwa ni misaada kwa wananchi walioathirika na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera Septemba 10, mwaka huu.  Amepokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Asilimia 60 wananchi hawataki maandamano

CHUMA BLOGTAASISI isiyokuwa na kiserikali ya Twaweza imesema asilimia 60 ya wananchi wanaunga mkono kuzuiwa kwa mikutano ya vyama vya siasa.Ripoti hiyo iliyotolewa jana Jijini Dar es Salaam ilihusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kuhusu kesi ya viongozi waliofungua akaunti bandia ya maafa Kagera

CHUMA BLOGWatumishi  watatu wa Serikali akiwamo Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Bukoba, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba wakituhumiwa kutaka kujipatia fedha kwa njia za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kuhamia Dodoma Leo

CHUMA BLOGWAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajia  kuhamia rasmi Dodoma leo.Majaliwa anahamia mjini hapa ikiwa ni sehemu ya kutekeleza ahadi ya Serikali ya awamu ya tano ya kuhamia Dodoma ambako ndiko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu Wa Rais Kuongoza Upandaji Miti

CHUMA BLOGMkuu wa Mkoa wa Dar es Saalam Paul Makonda.MAKAMU wa Rais, Samia Hassan Suluhu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katikauzinduzi wa Kampeni ya Upandaji Miti Mkoa wa Dar es Salaam.Akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Ataja Bei ya Kuuza Page yake ya Instagram Yenye Followers Milion 2

CHUMA BLOGAKIONGEA KUPITIA KITUO CHA TELEVISION CHA CLOUDS TV KUPITIA KIPINDI CHA SHILAWADU ,ALIULIZWA SWALI KUHUSU GHARAMA YA PAGE YAKE KAMA AKITAKA KUIUZA..BILA KUTAFUNA MANENO DIAMOND ALISEMA PAGE...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha : Wenzi mbilikimo waliozaa "Mbilikimo" maradufu Uingereza wafunga ndoa.

CHUMA BLOGSI mbilikimo tu..!!  Bali Laura Whitfield (26) mwenye urefu wa futi  4 na nchi 2 pekee,ni Mwenza wa Nathan Phillips (37) mwenye urefu wa futi 3 na na nchi 11. Raia hao wa Uingereza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makala : Oparesheni Entebbe, Steringi Alifia Uwanja Wa Mapambano

CHUMA BLOG Air France.Juni 27, 1976 ndege ya Ufaransa ‘Air France Flight 139’ ikiwa na abiria 248 ndani yake ilitekwa na magaidi  wanne. Ambao walikuwa Wapalestina 2 na Wajerumani 2 baada ya kutua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu Amkataa Idriss Sultan Mchana Kweupeee Pee

CHUMA BLOGWema amkataa Idriss Mchana kweupeee pee!!!!!Ashasema hataki kuwa nae sasa nyie endeleeni kupost ohh shem shem sijui kamuoa dada yenu au???? Watabaki kuwa marafiki kama zamani tuuuu...wema so...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba : Mavugo Adai Hukumu ya Yanga Imefika Leo

CHUMA BLOG  Kikosi cha timu ya Simba.AKIWAKOSA MAVUGOKocha Msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja, amesema safu yao ya ushambuliaji ipo vizuri na akishindwa kufunga Laudit Mavugo basi Ibrahim Ajibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga : Pigo Moja Simba Chali Taifa, Cannavaro Nikipangwa Wameisha

CHUMA BLOGKikosi cha timu ya Yanga.Pluijm alisema anataka ushindi ili kupunguza tofauti ya pointi kati yao na Simba kwani wapinzani wao wapo kileleni na pointi 16 wakati wao wapo nafasi ya tatu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rwanda Yanunua Ndege Ya Kisasa Ya Airbus

CHUMA BLOG Ndege aina ya Airbus A300-200 iliyonunuliwa na Shirika la ndege la Rwanda, Rwandair.Ndege hiyo ikimwagiwa maji kama ishara ya kupokelewa.Viongozi mbalimbali wakiwa nje ya ndege...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE UPDATES: Simba 1 vs Yanga 1 Kutoka Uwanja Wa Taifa

CHUMA BLOGDakika ya 46 mpira umeanza, mabadiliko yanafanywa ambapo Kelvin Yondani anaenda benchi na nafasi yake kuchukuliwa na Dante.Dakika ya 45 mwamuzi Martin Sanya anapiga filimbi kuashiria mpira ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Abdul Kiba Ampa Ujauzito Denti Na Kukataa

CHUMA BLOG NasraDAR ES SAALAM: Nasra Salum (19) ambaye ni mwanafunzi wakidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Isqama Islamic Academy iliyopo Oman, amedai kuwa msanii wa Bongo Fleva, Abdul Salehe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumapili ya Octoba 2

CHUMA BLOGChuma Empire

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu aeleza mikakata ya serikali kuipanga Dodoma isiwe kama Dar es...

CHUMA BLOGWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda timu ya wataalamu ambao watatoa ushauri juu ya suala zima la kuhamishia makao makuu Dodoma.  Ametoa kauli hiyo jana mchana (Jumamosi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMIRI JESHI MKUU RAIS DKT. MAGUFULI ALIPOFUNGA MAFUNZO YA MEDANI YA KIJESHI

CHUMA BLOGAmiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiweka saini katika kitabu cha wageniAmiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari Mpya Alilonunua Mchezaji Mbwana Samatta Huku Ubelgiji

CHUMA BLOGNahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta ametumia kiasi cha milioni 130 kununua gari yake ya kwanza nchini Ubelgiji.Gari hilo alilonunua mchezaji huyo ni Benz Cla220 Cdi AMG Sport...

View Article
Browsing all 2614 articles
Browse latest View live