CHUMA BLOG
BUSUNGU, MWASHIUYA WAZINGUA
Leo Yanga itamkosa mshambuliaji wake Malimi Busungu na kiungo mshambuliaji Geoffrey Mwashiuya ambao ni majeruhi. Mwashiuya anaumwa goti.
“Mwashiuya na Busungu ndio hawapo fiti asilimia zote kufikia leo (jana Ijumaa), wameshaanza mazoezi lakini ukweli hawapo fiti kwa ajili ya mchezo wa kesho (leo),” alisema Pluijm.
CANNAVARO AKIPANGWA KAZI MNAYO
Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akizungumzia mchezo huo, alisema: “Kama nikipangwa nakuhakikishia Simba watakiona cha moto, waombe nisipangwe tu.”
1.Ali Mustapha ‘Barthez’
2. Juma Abdul
3.Hajji Mwinyi
4.Andrew Vicent
5.Vincent Bossou
6.Mbuyu Twite
7.Simon Msuva
8.Thaban Kamusoko
9.Donald Ngoma
10.Amissi Tambwe
11.Deus Kaseke YANGA SC:
AKIBA: 1.Deogratius Munishi ‘Dida’ 2.Hassani Kessy 3.Oscar Joshua 4.Kelvin Yondani 5.Nadir Haroub ‘Cannavaro’ 6.Haruna Niyonzima 7.Juma Mahadhi
Kikosi cha timu ya Yanga.
Pluijm alisema anataka ushindi ili kupunguza tofauti ya pointi kati yao na Simba kwani wapinzani wao wapo kileleni na pointi 16 wakati wao wapo nafasi ya tatu na pointi 10. “Tunataka kushinda ili kupunguza tofauti ya pointi ndiyo maana mchezo huu ni muhimu kwetu, naamini tutashinda,” alisema Pluijm.BUSUNGU, MWASHIUYA WAZINGUA
Leo Yanga itamkosa mshambuliaji wake Malimi Busungu na kiungo mshambuliaji Geoffrey Mwashiuya ambao ni majeruhi. Mwashiuya anaumwa goti.
CANNAVARO AKIPANGWA KAZI MNAYO
Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akizungumzia mchezo huo, alisema: “Kama nikipangwa nakuhakikishia Simba watakiona cha moto, waombe nisipangwe tu.”
1.Ali Mustapha ‘Barthez’
2. Juma Abdul
3.Hajji Mwinyi
4.Andrew Vicent
5.Vincent Bossou
6.Mbuyu Twite
7.Simon Msuva
8.Thaban Kamusoko
9.Donald Ngoma
10.Amissi Tambwe
11.Deus Kaseke YANGA SC:
AKIBA: 1.Deogratius Munishi ‘Dida’ 2.Hassani Kessy 3.Oscar Joshua 4.Kelvin Yondani 5.Nadir Haroub ‘Cannavaro’ 6.Haruna Niyonzima 7.Juma Mahadhi