CHUMA BLOG
Kikosi cha timu ya Simba.
Straika wa Simba, Mavugo akizungumzia mchezo wa leo, alisema: “Jumamosi (leo) ndiyo itakuwa hukumu ya Yanga kwa sababu nimejipanga kuwanyoosha na kuisaidia timu yangu kupata ushindi.”

AKIWAKOSA MAVUGO
Kocha Msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja, amesema safu yao ya ushambuliaji ipo vizuri na akishindwa kufunga Laudit Mavugo basi Ibrahim Ajibu atafunga leo.
Kocha Msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja, amesema safu yao ya ushambuliaji ipo vizuri na akishindwa kufunga Laudit Mavugo basi Ibrahim Ajibu atafunga leo.
“Takwimu zinaonyesha jinsi safu yetu ya ushambuliaji ilivyo imara kwa kufanikiwa kufunga mabao mengi, tumejiandaa vizuri kupata mabao kwa Yanga na wakijidanganya kumzuia Mavugo asifunge, Ajibu na wangine wapo na wanaiweza kazi hiyo,” alisema Mayanja, raia wa Uganda.
Straika wa Simba, Mavugo akizungumzia mchezo wa leo, alisema: “Jumamosi (leo) ndiyo itakuwa hukumu ya Yanga kwa sababu nimejipanga kuwanyoosha na kuisaidia timu yangu kupata ushindi.”
1. Vincent Angban
2.Janvier Bukungu
3.Mohammed Hussein ‘Tshabalala’
4.Juuko Murshid
5.Method Mwanjale
6.Jonas Mkude
6.Jonas Mkude
7.Shiza Kichuya
8.Muzamiru Yassin
9.Laudit Mavugo
10. Ibrahim Ajib
11. Jamal Mnyate
AKIBA:
1.Manyika Peter
2.Hamad Juma
3.Mohammed Ibrahim
4. Mwinyi Kazimoto
5.Novart Lufunga
6.Said Ndemla
7.Frederick Blagnon Imeandaliwa na Nicodemus Jonas, Sweetbert Lukonge, Said Ally na Omary Mdose.