Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all 2614 articles
Browse latest View live

UCHAWI NI KUJIONGEZA KIDOGO TU MAMBO YANAENDA SAWA

$
0
0
 

VICHEKESHO vya makomediani maarufu Bongo, Mussa Yusuph ‘Kitale’ maarufu zaidi kama Mkude Simba na Stan Bakora ni tishio kwa sasa Bongo.

Pengine kinachowabeba zaidi ni staili yao ya kuchekesha ya kujibizana. Kabla ya kujulikana kuwa Mkude Simba ndiye Kitale, komediani wa muda mrefu ambaye amepaishwa na staili yake ya uteja, watu walijua ni ujio wa wasanii wapya kwenye vichekesho.

Ukweli ni kwamba, ulikuwa ujio wa staili mpya ya msanii Kitale, lakini pia ujio wa kipaji kipya kwenye komedi, Stan Bakora.

Ni vichekesho vya kwenye redio, ambapo Radio E-FM ndiyo waliowatambulisha. Sioni haya kusema kuwa, wasanii hawa ni kati ya vionjo vilivyoipaisha redio hiyo na kuwa na mashabiki wengi.

Hakuna aliyemjua Stan Bakora kabla ya E-FM, hata Kitale mwenyewe kama asingejiweka wazi mapema, angebaki na umaarufu mara mbili – angekuwa Mkude Simba na wakati huohuo Kitale.

Angeendelea kutesa kwenye filamu za vichekesho kama Kitale, lakini wakati huohuo akitengeneza maisha kwenye vichekesho vya redio na mitandaoni.

Sanaa ya ucheshi siyo kazi ndogo. Isingekuwa rahisi mtu kumpiku au kumfikia Mzee Majuto au Joti kwenye uigizaji wake. Kama Stan Bakora angekuja na staili ya akina Masanja, asingepata mafanikio aliyonayo leo hii.

Unaweza kuona kwamba staili yao ya tofauti ndiyo iliyowabeba na ni kweli kwamba hawafanani na wasanii wengine hapa Bongo kwenye vichekesho vyao.

Achana na Stan Bakora, yupo komediani mwingine anayekwenda kwa jina la Shaphii Omary maarufu JK. Msanii huyu mwenye uwezo wa kuigiza sauti za watu maarufu wakiwemo viongozi, amepata umaarufu zaidi baada ya kuweza kuiga kwa ustadi sauti ya Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete.

Shaphii aliona mbali. Kabla yake, wapo wakali wa kuiga sauti; kuna Steven Nyerere ambaye anapatia zaidi sauti ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, nyuma yake yupo Mc Babu Ayoub, wote hawa ni wakali wa kupatia sauti za watu maarufu.


CHUMA BLOG

Utata wa Nyumba Mpya ya Diamond Waibuka

$
0
0
CHUMA BLOG

Habari zilizo chini ya carpet huku Instagram ni kuhusu nyumba mpya ya mwanamuziki Diamond iliyopo South Africa zinasema kuwa mjengo huo bado haujalipiwa na uko sokoni kama picha inavyoonyesha hapo. Hivyo si Diamond wala Zari wana umiliki halali wa hiyo nyumba......


Mdaku Mmoja Huku Instagram Ameandika yafuatayo:

Tzshaderoom
"#roommates nilipost since angalieni post za nyuma nilikuwa wazi. Inasemekana #zari alikuwa akimkosesha Amani #chibu anunue nyumba south coz #ivan hamtaki mwanae kwake. Then msg zilizokuwa zinaeleza #zari atoke ktk nyumba #ivand akazisambaza kisa #mondi kapost nyumba akidai kuwa kamnunulia zari 😂 guys nilikwisha Sema kigoma hapatoki fala uzalendo Kwanzaa 🙌 do you think if #mondi hakuwadhibiti na Ile post yoote yanayo jiri tungeliyajua 🤔 jibu unalo. #zari na #ivan ni business partners now naomba nifunguke. Zari came in Tz kwa Nia ya kufanya kazi na #mondi akawazunguka walio kuwa wanandaa kazi hiyo ifanyike akaomba no. za mondi from mwanadada alioko karibu na binladeni mwanadada huyo anaandaa kipindi flani hivi cha TV. .
Zari alipopata number akampigia mzee wa kugonga na wakakutana na akagonga while wandaaji wa business wamewekwa pending na #zari well hapo Bila kusahau #zari alikuwa bongo kwa niaba ya Sponsor.
.
Why I call everything was well arranged coz #zari alijua what #mondi wants that time #wema was so sure with him. Hapo katikati aliye tangulia hotelini akiwa bongo ni siri binafsi ya #zari then baaaam akasema wamekutana ktk ndege which was a lie walikwisha kutana b4. hatujatulia baaaam she is pregnant 🤔
.
In btn so much drama zimepita my point is #zari and #ivan knew everything I mean everything nakuwa kitakacho mkata pembe #mondi ni mtoto then wafanye Yao. The more wanajifanya hawapo in good terms in public while ktk Bata njee ya media wapo pamoja is the more my 👃 ilipo nusa mchezo.
#mondi kama kawafix am proud of him 👏 coz tunaona kabisa how the movie is going do you think if angelikuwa kanunua huo mjengo kwa mashauzi ya #zari akisaidiwa na #ivan angelikuja kupambana na #bisandra hale 2 the NO. Birthday ingelifanyika south ktk mjengo mpya. .
Why am on #mondi side na kumsifu kwa alicho kifanya #mondi ka hustle to be who he is today so no way to fix him ktk mitego ya kijanja coz Kisha jaribiwa saana. How many girls wanagongwa in TZ na njee do u think hawataki kuwa na mtoto wa #mondi 🤔jibu unalo.
#zari take #mondi child support na ukitaka 🏡 chukua funguo 1 kwa #bisandra ✋ let #mondi B PLS 😩 coz hata Ivan hajakupa 🏡 na umezaa naye 3 "

Ama Kweli Nabii Hakubaliki Kwao..Tazama Rayvan na Harmonize Walivyopokelewa Burundi

$
0
0
CHUMA BLOG

Aisee ama kweli nabii hakubaliki kwao,daah waliotunga huu msemo walikuwa ma generous sana kwa kweli

Licha Rayvan na Raj boy Harmonize kuonekana sio lulu kwa kiasi hicho hapa nchini lakini Burundi huwaambii kitu kuhusu hawa madogo maana walivyopokelewa utadhani ulikuwa msafara wa Barack Obama ,sasa hapo wameenda watoto je angeenda baba la baba Chibu dee Diamond Platinums ingekuaje????

Picha : Makazi Mapya Ya Angelina Jolie Haya Hapa

$
0
0
CHUMA BLOG
jolie-16Chumba cha kulala wageni.jolie-1Ukumbi mdogo.jolie-2Chumba maalum cha mazoezi.
jolie-3Chumba cha kulala Angelina Jolie.jolie-4Chumba cha kupumzika wageni.jolie-5Pembezoni mwa bwawa la kuogelea.jolie-6jolie-7Sehemu ya chakula.jolie-8jolie-10sebule.jolie-11Bwawa la kuogelea. jolie-13jolie-15Mwonekano wa nje wa nyumba hiyo.
NEW YORK MAREKANI: Gumzo kubwa ulimwenguni kwasasa kwenye masuala ya burudani ni kuachana kwa wanandoa maarufu  Angelina Jolie na Brad Pitt.
Baada ya wawili hao kutalakiana, Angelina Jolie sasa anahamia kwenye mjengo uliopo pembezoni kabisa mwa Malibu  huku akiondoka na watoto wake wote, ambao jumla yao wako sita.
Kwenye nyumba hiyo ya kifahari, Angelina atakuwa akilipa kodi $95,000 kwa mwezi (zaidi ya shilingi milioni 209 kwa mwezi).
Inadaiwa kuwa muigizaji huyo alipanga kwenye nyumba hiyo yenye thamani ya $12m, wiki tatu kabla ya kudai talaka toka kwa Pitt.
Ina ukubwa futi za mraba, 4,409, ikiwa na vyumba vitano na mabafu matano na itatumiwa na yeye na watoto wao, Maddox, 15, Pax, 12, Zahara, 11, Shiloh, 10, mapacha Vivienne na Knox, 8.
Jolie na Pitt walianzisha uhusiano mwaka 2004 wakati wakishoot filamu ya Mr. & Mrs. Smith, wakati huo Brad alikuwa amemuoa Jennifer Aniston kabla ya kuachana naye na kumuoa Jolie.

PICHA : Diamond na Zari waendeleza bata lao Zanzibar

$
0
0
CHUMA BLOG
14482765_325944324422569_2369523093447114752_n 
Zanzibar kwa wenye fedha zao huweza kugeuka kuwa paradise iliyo chini ya jua. Kwa Diamond, Zanzibar imekuwa ni sehemu muhimu pindi anapotaka kumpeleka mapumzikoni mchumba wake, Zari.

Kwa dhoruba kadhaa zilizojaribu kulipiga pendo lao miezi ya hivi karibuni, mapumziko katika fukwe za visiwani humo zenye ukijani unaovutia na upepo mwanana wa bahari ya Hindi, kilikuwa ni kitu walichokihitaji zaidi.
14350800_655042867993320_3104029343639142400_n
Isitoshe, Zari amesherehekea siku yake ya kuzaliwa siku mbili hizi – siku ambayo imemkuta akiwa amejaa, mimba nyingine, ya mtoto mwingine wa kipenzi chake, Diamond. Ni zawadi gani nyingine alipaswa kupewa na mpenzi wake zaidi ya kupelekwa kwenye kisiwa hicho cha karafuu?
14359462_1289578727752813_8255799012683153408_n
Nguo nyeupe likawa chaguo lao na picha zao zilizopigwa nyumba ya mazingira ya kuvutia ya Zanzibar, zimeng’aa haswaa. Chini ni baadhi ya picha hizo.
14449152_1807308329504796_7769537358189297664_n 
14310603_158656564586124_2312098998447505408_n 
14350702_1777066919202678_5949122388972011520_n 
14350865_984556874986808_2455024042495705088_n 
14350964_662324507258812_4907645785228705792_n 
14369077_961752607287190_3769994207914098688_n 
14374212_1773272106292175_1753673247611682816_n

Baada ya kuzushiwa kifo, Bilionea Dangote ameyaandika haya.

$
0
0
CHUMA BLOG
Bilionea namba moja barani Afrika, Aliko Dangote amekanusha uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amefariki dunia akiwa nchini Ujerumani.

Taarifa hizo zinaeleza kuwa bilionea huyo amefariki akiwa nchini Ujerumani baada ya kuugua kwa muda mfupi. Aidha, taarifa hizo zinaeleza kuwa familia ya bilionea huyo imethibitisha kifo cha ndugu yao huyo na kusema kuwa ni pigo kubwa kwa Afrika.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Dangote ameandika hivi “I am hale, hearty and alive. Please disregard malicious report saying otherwise. Thank you.” , akimaanisha kuwa yeye ni mzima wa afya na kuwataka watu kupuuzia taarifa zinazoeleza kivingine.”

Akimaanisha “Mimi ni mzima na buheri wa afya. Tafadhali puuzeni taarifa zote zinazosema vinginevyo. Asanteni.”

Aliko Dangote ni raia wa Nigeria, ndiye mwenye utajiri mkubwa zaidi barani Afrika. Dangote anamiliki kampuni kubwa ya Dangote Group inayofanya kazi katika nchi mbalimbali za Afrika ikiwa ni pamoja na Nigeria, Benin, Ethiopia, Senegal, Cameroon, Ghana, Afrika Kusini,  Togo, Tanzania na Zambia.
Muda mfupi baada ya kuzuka kwa taarifa hizo, Aliko Dangote alikanusha taarifa hizo kupitia mtandao wa Twitter kwa kupost kuwa yuko Afrika kusini na yuko salama kabisa.

Familia ya Diamond Yaikacha Sherehe ya Birthday ya Zari Iliyofanyika Zanzibar...Mabifu Yaibuka Upya

$
0
0
CHUMA BLOg
MWISHONI mwa wiki iliyopita (juzi Ijumaa usiku) ilifanyika pati ya kusherehekea kuzaliwa kwa mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari’ ambayo imeibua mabifu upya. Pati hiyo iliyohudhuriwa na mastaa wachache kutoka Bongo ambao ni pamoja na Moze Iyobo, Aunt Ezekiel na wengineo ilifanyika Zanzibar ambapo licha ya kufana, imeibua mtifuano upya kati ya Zari na wifi yake, Esma Abdulkadiri na Diamond na mume wa zamani wa Zari, Ivan Semwanga.

IVAN NA DIAMOND
Bifu la wawili hawa lilikuwa limezimika, lakini lilirudi upya baada ya juzikati Diamond kumzawadia Zari nyumba iliyopo Afrika Kusini kisha kumrushia Ivan dongo kwa kuandika mtandaoni: “Wanakazana kujisifu matajiri ilhali watoto wao wanaishi kwenye nyumba za kupanga… halafu leo yuleyule wanayemtukana kutwa kwenye mitandao kuwa maskini, kajawa na shida, kanunua nyumba kulekule kwao ili watoto wao waishi maisha bora kama wanayoyatamani… Heri ya siku ya kuzaliwa Mama tee wangu…. Nakupenda sana na unalifahamu hilo…natumai umeipenda nyumba yetu hii mpya South Africa.”

NI DONGO KWA IVAN
Ujumbe huo moja kwa moja u l i o n e k a n a kumhusu Ivan ambaye kipindi cha nyuma kwa kushirikiana na mshikaji wake aliyefahamika kwa jina la King Laurence, walikuwa wakimtusi wakimsema kuwa ni maskini ila wao wana pesa licha ya madai kuwa, nyumba wanayoishi watoto wa Zari kule Sauzi ni ya kupanga. Baada ya dongo hilo, hali ilichafuka huku Ivan akimrushia madongo Diamond sambamba kumtaka Zari amwambie bwana wake (Diamond) aondoe ujumbe huo mtandaoni kwani hata wanaye wakiuona wataumia. Inadaiwa kuwa, licha ya Ivan kuomba hivyo, Zari alimjibu kuwa Diamond amegoma kwa maelezo kwamba, wao (King Laurence na Ivan) ndiyo walioanza kumtusi.

 ESMA NA ZARI
Bifu lao lilihusishwa baada ya Esma kuulizwa sababu za kutomuwish wifi yake katika siku yake ya kuzaliwa, kuonesha ‘analo na limemfika hapa’ alifunguka: “Siwezi kumuwishi, mbona Taraj (mwanaye) hakumuwishi wakati ndiye aliyekuwa akicheza na mwanaye (Tiffah) nyumbani? Wee ukosane na mimi umkasirikie hadi mtoto, ujinga huo. Siwezi kumuwishi Mbona Bi. Snura (mama wa Diamond) alimuwishi akamfuta na mafumbo juu, akasababisha watu wakamchamba!….. (anataja jina la mwandishi) nimekaa tumboni kwa mama yangu miezi 9 ‘so’ mtu anavyomletea dharau siwezi kumpenda. Mbona wote tumekaa nao vizuri haijawahi tokea haya mambo, kwa nini yeye?” alihoji Esma.

FAMILIA YA DIAMOND YASUSA BETHIDEI
Katika kile kinachoonesha kuna kitu kizito nyuma ya pazia kati ya Zari na ndugu wa Diamond, inadaiwa hakuna hata mmoja aliyefika hali iliyoibua maswali mengi.

DIAMOND, ZARI VIPI?
Kufuatia kuibuka kwa mabifu hayo sambamba na figisu nyingine, gazeti hili lilifanya jitihada za kuwatafuta Diamond na Zari kupitia simu zao za mkononi ili waseme lolote, lakini simu zao hazikuweza kupatikana.

Shein atembelea Mradi Wa Nyumba Fumba

$
0
0
CHUMA BLOG

dk-ali-mohamed-shein-2Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Group, Said Salim Bakhresa, alipotembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa huko  Fumba wilaya ya Magharibi, Mkoa wa Mjini Magharibi leo  zinazojengwa na Kampuni ya Azam Group.  Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibu, Ayoub Mohamed Mahmoud.
dk-ali-mohamed-shein-1Shein (wa pili kushoto) akiwa na Said Salim Bakhresa (kushoto)  na viongozi wa Serikali wakati alipotembelea mradi huo.
dk-ali-mohamed-shein-3Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Said Salim Bakhresa(kulia) wakati alipotembelea mtambo wa  kutengenezea lami katika Kampuni ya Azam Group leo. dk-ali-mohamed-shein-4…Akipanda ngazi ya moja ya nyumba zinazojengwa.
dk-ali-mohamed-shein-5…Akipata maelezo kutoka kwa mtaalam wa mashine za kutengenezea lami wa Kampuni ya Ujenzi ya  Azam Group,  N.P.Singh (wa pili kulia).

Spika Ndugai Atembelea Baraza La Wawakilishi Zanzibar

$
0
0
CHUMA BLOG
 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiwasili Mjini  Zanzibar kwa kutumia Boti wakati alipofanya ziara ya kutembelea Baraza la Wawakilishi mapema leo Septemba 2016.
 Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai akisalimiana  na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid (katikati)  alipowasili katika Ofisi za Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Kushoto ni Naibu Spika wa Baraza hilo Mhe Mgeni Hassan Juma.
 Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai (kulia) akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid (katikati) na Naibu Spika wa Baraza hilo  Mhe Mgeni Hassan Juma wakati alipowatembelea.
 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa tatu toka kulia) akifuatilia kikao cha Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati alipowatembelea. Wapili kulia ni Spika wa Baraza hilo Mhe Zuberi Ali Maulid na wa kwanza kulia ni Naibu Spika wa Baraza hilo Mhe Mgeni Hassan Juma.
  Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai kiwasalimia Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar alipotambulishwa wakati wa kikao cha Baraza hilo.
 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid (kulia) na Naibu Spika wa Baraza hilo Mhe Mgeni Hassan Juma (kushoto).
Spika wa Baraza la Wawakilishi  Mhe Zuberi Ali Maulid akimuelezea jambo Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai wakati wa ziara hiyo.

ASKARI WA JESHI LA ZIMAMOTO WAPIGANA MAKONDE NA WANANCHI BAADA YA KUPIGA RAIA SHINYANGA MJINI

$
0
0
 



NB-Picha haihusiani na tukio...picha na video ya tukio tutawaletea baadaye kidogo


Katika hali isiyokuwa ya kawaida askari wa jeshi la zimamoto na uokokoaji mjini Shinyanga wametwangana makonde kavu kavu na wananchi wanaowazunguka baada ya askari kumshushia kipigo mpaka kupoteza fahamu mfanyabiashara mdogo (Machinga) ambaye hakufahamika jina baada ya kukatiza eneo la ofisi za zimamoto wilaya ya Shinyanga.


Tukio hilo limetokea leo Septemba 26,2016 majira ya saa tano asubuhi ambapo machinga huyo akiwa amebeba nguo zake alipita eneo la jeshi hilo ambalo halina uzio.

Inaelezwa kuwa pamoja na eneo hilo kutokuwa na uzio wananchi hawaruhusiwi kukatisha na wakati machinga huyo akipita ndipo alipokumbana na askari hao na kuanza kupokea kichapo hadi kudaiwa kuzirai.

Mashuhuda wa tukio hilo wameiambia Malunde1 blog kuwa kitendo cha kumpiga raia huyo na kumrukisha kichura chura ndicho kilisababisha wananchi waliokuwa karibu na eneo hilo kupandwa na hasira na kuwavamia askari hao na kusababisha vurugu itokee.


“Wananchi wengi huwa wanapita hapa,leo sijui imekuwaje,wakati adhabu zikiendelea machinga huyo alivulishwa nguo na kubaki na nguo ya ndani huku akimwagiwa maji na kupigwa mitama, muda kidogo tukamuona amezimia”,wameeleza.

“Kufuatia hali hiyo,wananchi tukasogea kuhoji kinachoendelea na kuanza kurushiwa matusi na askari hao,ndipo fujo zilipoanzia ngumi kupigwa kavu kavu huku mawe, chupa zikirushwa ovyo hadi diwani wa kata ya Kambarage Hassan Mwendapole mahali jeshi hilo lililipo alipofika na kutuliza vurugu hizo.

Akizungumza baada ya kutuliza vurugu hizo diwani wa kata ya Kambarage Hassan Mwendapole amelishauri jeshi la zimamoto kutoa elimu kwa wananchi badala ya kutumia nguvu kuwazuia wasipite eneo hilo.

“Ofisi hizi ziko katikati ya watu na hakuna uzio imara,wananchi wamekuwa wakikatiza mara kwa mara pamoja na kwamba kuna vibao vya kuzuia wasipite,wangejikita kuelimisha wananchi,wakikamata basi watoe mkwara kidogo siyo kupiga,kumvua mtu nguo,kumwagia maji,haya yote kivyovyote hayapo kwenye kanuni,huyu raia nimemkuta kapoteza fahamu,kamwagiwa maji na hakuwa anatoka damu",amesema Mwendapole.

Akizungumza na Malunde1 blog,Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wilaya ya Shinyanga Benjamin Inenge amesema huyo raia hajapigwa na kwamba katika eneo hilo la zimamoto wanachokifanya ni kuzuia raia wasikatishe kwa sababu za kiusalama.

“Kilichotokea leo wakati raia huyo anakatisha askari walimzuia na kumwambia arudi alikotokea,akageuka kurudi na kuanzisha vurugu huku akiwatukana askari,kwa sababu eneo hili lina magari pengine angeweza kurusha mawe kwenye vioo,wakaanza kukabiliana naye kwa kumwagia maji,akaanguka chini na kujifanya kazimia,askari wakaanza kumvua viatu”,amesema Inenge.

“Hali hiyo iliwashtua wananchi na kuvamia kituo na kuanzisha vurugu,baada ya hapo tukashirikiana na askari wa jeshi la polisi na askari wa zimamoto kumchukua raia huyo na kumpeleka hospitali,lakini ukweli ni kwamba raia huyo hajapigwa”,ameongeza kamanda Inenge.

Hata hivyo kaimu kamanda wa jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Shinyanga Edward Lukuba, amelaani tukio la askari wake kumpiga machinga huyo hadi kupoteza fahamu, na kubainisha kuwa watakaa kikao na kutoa adhabu dhidi yao.

Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga ACP Muliro Jumanne Muliro amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa atazungumzia tukio hilo baadaye baada ya kupata taarifa kwa undani zaidi.

Aunty Ezekiel Akerwa na Wanaosema ni Snitch na Anajipendekeza Kwa Zari...Atokwa na Povu

$
0
0
CHUMA BLOG
Anti Ezekiel Awashuki wanaosema anajipendekeza kwa Zari 
 
 #Regrann from #auntyezekiel - Naitwa Aunty Ezekiel Grayson jujuman Ukipenda ...Mama Cookie Mnyakyusa hasilia ...Sasa bac Nataka niwaambie kitu kimoja mana kujibu mmoja mmoja Muda huo sina ni hv Nafanya ntakalo sifanyi Mtakayo mana nina uhakika nyie mnaokaa kubishana na mm vibanda vya mbavu za zaMmbwa zinawashinda so muda mnaokaa mkafatilia yangu mngeenda tafuta lakufanya ....Oooh njaa Yes I say tena Yes mana mnataka nibadili Red kuwa Yellow kwani yule c ni boss wa mkata viuno wang au!!!Sasa kama ni boss ulitaka nibishe niseme mm ndio Boss bac nifungue band yetu acheze!!!Mnawazimu nn na Namuheshimu kama Mshkaji rafiki boss wa bwanaangu na siwezi acha kushirikiana na Familia yake eti kisa Ushuzi mtasema nn...Sitaki kutaja majina ya watu ila kilichopo ndio ukweli asilia Mama Tee ndio mwanamke na Mama watoto wa Nasibu no way hata tulambe rami kubadili ni ngumu Ila mwenyewe akibadili bac na Sisi tutabadili ila kwa sasa ni Mama tee Shukrani gud Day #msaliti kulingana na wakati eti umemuacha mumeo jela mlitaka nikagongane nae jela Au nikae miaka 20 akitoka nina miaka 50 nazaa lini nalea lini nakufa lini Wapuuzi nn msinichefue mie msitake niongee yasiyowahusu...Mnanitoa Povu kama mmenilaza kwenye sabuni ya Unga

Mfalme Wa Jordan Azuru Kenya, Ashuhudia Mazoezi Ya Kijeshi

$
0
0
CHUMA BLOG
kenyatta-force-4Mfalme wa Jordan, King Abdullah wa II akisalimiana na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta mapema leo.
kenyatta-force-5…Akisalimiana na viongozi wa ngazi za juu wa jeshi la Kenya (KDF).
kenyatta-force-6…Akisaini kitabu cha wageni.
kenyatta-force-7…Akiteta jambo na mwenyeji wake Rais Kenyatta.
kenyatta-force-9Mfalme Abdullah II akizungumza na wanajeshi kwenye hafla hiyo.
kenyatta-force-13Kiongozi wa ngazi za juu wa KDF akizungumza mbele ya Mfalme Abdullah II.
kenyatta-force-2Mfalme Abdullah II akiteta jambo kabla ya kuanza kwa mazoezi ya kijeshi.
kenyatta-force-11…wakishuhudia mazoezi hayo ya kijeshi.
kenyatta-force-1…mazoezi ya kijeshi yakiendelea.
kenyatta-force-10Helikopta ya kijeshi ikiwa katika mazoezi hayo.
kenyatta-force-12Viongozi hao wakiteta jambo huku mazoezi ya kijeshi yakiendelea.kenyatta-force-8Viongozi hao wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa shughuli hiyo.
NAIROBI KENYA: Mfalme Abdullah wa II  wa nchi ya Jordan leo amewasili nchini Kenya na kupokelewa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta kwenye Uwanja wa ndege wa Jomo Kenyetta.
Baada ya kuwasili nchini humo mfalme huyo ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa kusaidiana kijeshi kati ya mataifa hayo mawili ambapo watakuwa wakibadilishana ujuzi kuhusu namna ya kupambana na suala la ugaidi kwenye nchi zao.
Majeshi ya KDF na Royal Jordanian Armed Forces kwa pamoja yamefanya mazoezi na kushuhudiwa na viongozi hao kwenye eneo la mazoezi ya kijsehi ya KDF.
Nchi zote mbili zimekumbana na matukio ya kigaidi miaka ya hivi karibuni na kupitia mkataba huu mataifa hayo yamekubaliana kwa pamoja kusaidiana kupambana na masuala ya kigaidi.
Mfalme Abdullah II amerejea nchini kwake baada ya kukamilika kwa mazungumzo hayo.

Rais Magufuli Atembelea Bandari jijini Dar

$
0
0
CHUMA BLOG

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akitembelea bandari ya Dar es salaam leo Septemba 27, 2016 akiwa ameongozana na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Uchukuzi i Dkt Leonard Chamriho na uongozi wa Bandari
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akitembelea bandari ya Dar es salaam leo Septemba 27, 2016 akiwa ameongozana na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Uchukuzi i Dkt Leonard Chamriho na uongozi wa Bandari
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akitembelea bandari ya Dar es salaam leo Septemba 27, 2016 akiwa ameongozana na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Uchukuzi  Dkt Leonard Chamriho na uongozi wa Bandari.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipata maelezo kutoka kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa kuhusu zoezi la  uthibiti wa kiwango cha mafuta yanayoingia nchini  kutoka kwenye meli (Oil Flow Meter) katika bandari ya Dar es salaam leo Septemba 27, 2016 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Mary Mhayaya kuhusu  chumba cha mitambo ya  uthibiti wa kiwango cha mafuta yanayoingia nchini  kutoka kwenye meli (Oil Flow Meter) katika bandari ya Dar es salaam leo Septemba 27, 2016

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiongea na wafanyakazi wa bandari baada ya kutembelea bandari ya Dar es salaam leo Septemba 27, 2016
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiongea na wafanyakazi wa bandari baada ya kutembelea bandari ya Dar es salaam leo Septemba 27, 2016

Meneja wa Diamond Athibitisha Kuwa ni Kweli Diamond Kanunua Nyumba Afrika Kusini..Ataja Bei Aliyolipia

$
0
0
CHUMA BLOG

Kuna nyumba ilikuwa sokoni inayofanana na ile Diamond amedai kuinunua South, zinafanana tu ama ni ile ile? Hilo ni swali ambalo hadi sasa wengi wamekuwa wakijiuliza, lakini sasa Bongo5 ina jibu la uhakika.

Wiki iliyopita Diamond Platnumz alitengeneza vichwa vya habari baada ya kupost kwenye Instagram picha ya nyumba anayodai ameinunua nchini Afrika Kusini itakayotumiwa na mchumba wake Zari.

Picha hiyo aliisindikiza na maelezo mazito yaliyowalenga wale aliowaelezea kama wanaopenda kujisifia ni matajiri na kumuita yeye maskini ilhali watoto wao bado wanaishi kwenye nyumba za kupanga. Wengi walitafsiri kuwa dongo hilo lilimlenga ex wa Zari, Ivan anayefahamika kwa kuishi maisha ya kifahari.

Hata hivyo, muda mfupi baada ya Diamond kuweka picha hiyo, wametokea watu ambao wamesambaza picha ya nyumba nyingine inayofanana kwa karibu asilimia 100 na nyumba ile iliyowekwa kwenye mtandao wa privateproperty.co.za na hivyo kuzusha minong’ono mingi.

Kwa mujibu wa meneja wa Diamond, Sallam, nyumba hiyo imelipiwa Alhamis iliyopita na tayari ni mali ya muimbaji huyo wa Salome na amefafanua kwanini bado haijatolewa kwenye tovuti hiyo.

“Nyumba imelipiwa thursday haiwezi toka muda huo huo kwenye website mpaka agency amalizane na mwenye nyumba then process zote zikamilike ndio inatolewa kwenye site,” Sallam ameiambia Bongo5.

Nyumba hiyo ipo Moreleta Park, mjini Pretoria.


Ina vyumba vitano, lounge 3, mabafu matatu, bwawa la kuogelea, balcony, gereji mbili na nyumba ya pembeni ya kuishi wafanyakazi.

Ipo kwenye eneo lenye ukubwa wa mita za mraba, 1068.


Bei yake si haba, ilikuwa inauzwa kwa Rand 2,480,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 396 za Kitanzania.

Kuhusu anachokisema Diamond baada ya watu kudhani kawapiga changa la macho watanzania, Sallam amejibu, “Anachukulia kawaida, ni mengi kila siku yanasemwa.”

Hiyo ni sababu kubwa staa huyo ameamua kujizawadia mapumziko mahsusi visiwani Zanzibar mwishoni mwa wiki.

UPDATES:

Kibao cha ‘SOLD’ kimeshaweka kwenye nyumba aliyonunua Diamond, Pretoria, Afrika Kusini na tayari imeshatolewa kwenye listings za mtandao wa http://www.privateproperty.co.za. Na sasa ni mali yao halali..

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Septemba 27


Urais Marekani Watawaliwa Na Kejeli Na Vijembe Mdahalo Wagombea

$
0
0
CHUMA BLOG

donald-trump-hillary-clinton-zoom-e55a3b65-f1ef-4ea3-a590-8586f4a4ada1 
Donald Trump na Hillary Clinton kabla ya kuanza kwa mdahalo huo.
NEW YORK , MAREKANI: Homa kubwa nchini Marekani kwasasa ni uchaguzi mkuu wa rais wa nchi hiyo unaotarajia kufanyika Novemba 4, 2016.
Homa hiyo inachangiwa kwa kiasi kikubwa na wagombea wa pande zote mbili, mwanamama Hillary Clinton wa Chama Cha Democratic na Donald Trump wa Chama Cha Republican ambao kura za maoni zinaonesha wanakabana koo kuwania nafasi hiyo muhimu.
Usiku wa kuamkia leo wagombea hao wamepambana vikali katika mdahalo wa kwanza wa televisheni ambapo wamepingana katika masuala mbali mbali ikiwemo masuala ya sera, kodi, ajira na uchumi.trump….Wagombea hao wakiwa kwenye mdahalo huo.
Vilevile wote wamezungumzia kuhusu Vita vya Iraq na juhudi za kukabiliana na kundi linalojiita Islamic State ambalo inadaiwa chimbuko lake kubwa ni kutokana na vita hivyo.
Msimamizi wa mdahalo huo, Lester Holt alimwuliza Donald Trump mbona hadi kufikia sasa bado hajaweka wazi taarifa zake za ulipaji kodi.
Mwanamama Hillary Clinton amemshutumu mpinzani wake akisema amekuwa akikwepa kulipa kodi na kudokeza kwamba hilo lina maana kwamba bwana Donald Trump hawezi kuwa na wanajeshi imara, pesa za kulipa wanajeshi waliostaafu pamoja na kufadhili elimu na huduma ya afya.
Lakini tajiri huyo kutoka New York amejibu kwa kusema kwamba atatoa hadharani taarifa hizo iwapo Bi Clinton naye atakubali kutoa barua pepe 33,000 ambazo zilifutwa kutoka kwa akaunti yake wakati wa uchunguzi kuhusu tuhuma kwamba alitumia barua pepe ya kibinafsi kwa kazi rasmi alipokuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani.
Bi Clinton amekubali lawama kuhusu kosa hilo na kusema hakuwezi kuwa na “kisingizio”.
Kadhalika, Donald Trump amemlaumu mpinzani huyo wake kuhusu kupotea kwa ajira akisema nafasi za kazi “zinaikimbia nchi” na akalaumu mikataba duni ya kibiashara.
Amesema Hillary Clinton amekuwa mtu wa “maneno mengi, bila vitendo”.
Bi Clinton ameahidi kuongeza uwekezaji na kuahidi kuunda nafasi takriban 10 milioni za kazi.
Mdahalo huo ulioandaliwa jijini New York huenda ukawa mdahala uliotazamwa na watu wengi zaidi katika historia ambapo watu 100 milioni inakadiriwa walitazama mdahalo huo.
Kura za maoni zinaonyesha wawili hao wanakaribiana sana katika uungwaji mkono.
Mambo mengine makuu yaliyoibuka kwenye madahalo:
Trump amesema hata jeshi linajua yeye anafaa kuwa Amiri Jeshi Mkuu, ISIS ni Wadukuzi na jeshi limemuidhinisha kuwa yeye ni mtu thabiti kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
Bwana Trump pia amewashutumu Rais Obama na Hillary Clinton kwa kuweka nafasi katika nchi zenye migogoro kama Libya na Syria jambo lililoruhusu kumea kwa makundi kama ISIS na pia kuondoa majeshi mapema nchini Iraq ndiko kumepelekea kuimarika kwa ugaidi wa ISIS.
“Umekuwa ukikabiliana na ISIS maisha yako yote,” Bwana Trump amemkejeli Bi Clinton
Pia amemzungumzia Bi Clinton na kusema hana uwezo wa kudhibiti ukali wa kumuwezesha kuwa rais. Anadai mwanamama huyo ni mpole sana.
Trump amesema Wamarekani Weusi wanaishi “katika jehanamu” nchini Marekani, kwa sababu maisha yao yamekuwa hatari sana.
Akijibu kupigwa risasi kwa watu weusi, bwana Trump amesema suluhu ni kurejesha utawala wa sheria.
Bi Clinton amesema akichaguliwa kuwa rais atatekeleza mageuzi katika mfumo wa sheria kwa sababu “suala la asili limekuwa likiamua masuala  mengi ya muhimu”.
Hillary Clinton “Trump anajenga urafiki na viongozi wa mataifa wahasimu kama Russia, China na Iran na kwamba Rais Putin wa Russia ameruhusu mashambulizi ya mtandaoni kutoka Moscow.”
Pia mwanamama huyo amesema ana wasiwasi na urafiki wa Donald Trump na Vladmir Putin na kwamba Trump hafai kukaa White House.
Baada ya mdahalo kumalizika wagombea wote wamekubaliana kuheshimu matokeo.
Bado midahalo miwili itakayofanyika kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 4, 2016.

Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es salaam Degree-2016/2017

$
0
0
CHUMA BLOG
The following applicants have been selected to join various undergraduate degree programmes for the 2016/2017 academic year. 

The selected applicants should report at the Mwl. J.K. Nyerere Mlimani Campus on Saturday 8th October 2016 for the orientation week which will start on Monday 10th October 2016. 

Applicants selected for admission into Dar es Salaam University College of Education (DUCE) and Mkwawa University College of Education (MUCE) should report directly to the college's campuses in Chang'ombe and Iringa respectively on the same dates. 

Joining instructions and admission letters should be collected at the University campuses where one is admitted. Joining instructions and other important information can also be downloaded from the University website.

Papa Francis Akutana Na Rais Kabila Vatican

$
0
0
CHUMA BLOG

popePapa Francis akizungumza na Rais Kabila ndani ya maktaba yake.pope-na-kabilaPapa Francis akiagana na Rais Kabila baada ya mazungumzo kumalizika.
VATICAN CITY: Papa Francis amekutana na kufanya mazungumzo ya faragha na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Mazungumzo hayo yalifanyika kwenye makazi ya Papa Francis yaliyoko jijini Vatican.
Kwenye mazungumzo hayo Rais Kabila amesema atahakikisha anafanikisha mazungumzo ya pande zote zinazokinzana nchini Congo yamalizike kwa amani.
Kwenye mazungumzo hayo yaliyochukua dakika 20, Papa Francis hakwenda kusalimiana na mgeni wake huyo kwenye chumba maalum cha wageni maalum na kumsubiri kwenye maktaba yake.
Vatican wamesema Papa Francis amesisitiza ni lazima mazungumzo ya amani yafanyike baina ya serikali na wapinzani ili kuliepusha taifa hilo kuingia kwenye machafuko.

Ndege Ya Pili Ya Serikali Yawasili Dar

$
0
0
CHUMA BLOG
magufuli-plane-6  Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) ikitua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa. Sherehe za uzinduzi rasmi wa ndege hizo umepangwa kufanyika kesho Jumatano Septemba 28, 2016 hapo hapo uwanjani.
magufuli-001
magufuli-plane-8-001
Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) ikipata Saluti ya maji (Water Canon Salutation) mara tu baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa. Sherehe za uzinduzi rasmi wa ndege hizo umepangwa kuganyika kesho Jumatano Septemba 28, 2016 hapo hapo uwanjani.
magufuli-plane-2-001Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) ikiegeshwa karibu na pacha wake iliyofika wiki moja uliopita  katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa. Sherehe za uzinduzi rasmi wa ndege hizo umepangwa kuganyika kesho Jumatano Septemba 28, 2016 hapo hapo uwanjani.
magufuli-plane-13-001Katibu Mkuu Uchukuzi Dkt Leonard  Chamriho na viongozi wengine wakielekea kwenye Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) ilipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa. Sherehe za uzinduzi rasmi wa ndege hizo umepangwa kuganyika kesho Jumatano Septemba 28, 2016 hapo hapo uwanjani.
magufuli-plane-10Katibu Mkuu Uchukuzi Dkt Leonard  Chamriho  akisalimiana na nahoda wa  John Kuipers aliyeeendesha Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) na kuiwasilisha salama katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa. Sherehe za uzinduzi rasmi wa ndege hizo umepangwakuganyika kesho Jumatano Septemba 28, 2016 hapo hapo uwanjani.
magufuli-plane-4Katibu Mkuu Uchukuzi Dkt Leonard  Chamriho  akikagua  Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) mara ilipotua  katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa.
magufuli-plane-11Katibu Mkuu Uchukuzi Dkt Leonard  Chamriho akiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa ATCL Mhandisi Ladislaus Matindi pamoja na maafisa wengine wakiwa katika Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) mara ilipotua  katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa.
magufuli-plane-5Katibu Mkuu Uchukuzi Dkt Leonard  Chamriho na Afisa Mtendaji Mkuu wa ATCL Mhandisi Ladislaus Matindi wakitelemka baada ya kuikagua Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) mara ilipotua  katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa.
magufuli-plane-9Katibu Mkuu Uchukuzi Dkt Leonard  Chamriho  akimpa pongezi   nahoda wa  John Kuipers aliyeendesha aliyeendesha Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) mara ilipotua  katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa.
magufuli-plane-3Nahoda  John Kuipers na Nahodha Owen Davies walioendesha Ndege ya pili ya Bombadier Q400 iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) wakifurahia mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 27, 2017 ikitokea Canada ilikotengenezwa.
 PICHA NA IKULU

Mabasi ya Haraka yalivyogongana yenyewe kwa yenyewe DSM

$
0
0
CHUMA BLOG
Ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu UDART kujenga control room katika kituo chao cha Jangwani ambapo imekuwa na msaada wa kumonitor madereva.

Leo September 26 2016 eneo la Magomeni Usalama jijini Dar es salaam kumetokea ajali iliyohusisha mabasi mawili yaendayo haraka baada ya kugongana yakiwa kwenye njia yake. Abiria wote walitoka salama na hakuna madhara yoyote kwa abiria.
Viewing all 2614 articles
Browse latest View live