Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

JK AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BI SHAKILA MBAGALA CHARAMBE JIJINI DAR.

$
0
0
CHUMA BLOG
s Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar .
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akiweka udongo kwenye kaburi la Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.
Rais Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Said ,huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar,wa pili kushoto akishuhudia ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye.
Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Mbagala Charambe,jijini Dar,kushoto ni  Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye.
 Mke wa Rais Mstaafu awamu ya nne,Mama Salma Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Said ,huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.

Rais Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete (wa pili kulia) na Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye (pili kushoto) wakishiriki maziko ya aliyekuwa Mkongwe,mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarabu hapa nchini,Bi Shakila Saidi ambaye mazishi yake yamefanyika leo huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.
Makamu wa Rais Mh,Samia Suluhu akijadiliana jambo na mmoja wa waombolezaji nyumbani kwa marehemu,kabla ya maziko kufanyika.Bi Shakila,amefariki ghafla nyumbani kwake,huko Mbagala Charambe.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2614

Trending Articles