CHUMA BLOG
![]()
![teteeeeeeee]()
![teteeeeeeeeeee]()
![tetemeko]()
![tetemekoe]()
![tetemekooo]()
![tetemekoooj]()
Leo Septemba 10, 2016, tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa Ritcha 5.7 limeikumbuka mikoa ya Kanda ya Ziwa hasa Kagera na Mwanza na kusababisha maafa makubwa ikiwemo nyumba za watu kubomolewa.









Maeneo yalioathirika zaidi kwa Tanzania ni, Bukoba, Nsuga na Nsunga.