CHUMA BLOG
Na Dustan ,Morogoro.
Dida ( Mtangazaji) akikata uno mithiti ya feni..baada ya kujitoa fahamu
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Mzuka ulipompanda alijituopa kwenye godoro la zawadi ya bibi harusi mteule na kuendelea kukata mauno.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Watu Didaaaaaaaaa.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Dida akizungumza na Mpiga picha wa Mtandao huu baada ya kufanya yake
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Bi,Harusi mteule Warda kulia akimng'ongoneza jambo dada yake.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Dida akiwa na kampani yake aliyotoka nayo Dar
Mtangazaji Mahiri nchi Warda Makongwa anayetarajiwa kufunga ndoa mwishoni mw awiki hii akiingia kwenye ukumbi uliopo nyumbani kwa mjomba wake Juma Tembo Pane za Tubuyu,katika sherehe hiyo ya Usiku wa Vyombo iliyosindikizwa na kibao kata kila tukio Warda alibadili nguo yenye thamani kubwa hili ni gau alioingia nalo ukumbini.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Mambo ya kibao kata na matarumbea
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Kibao kata kimekolea ukumbini
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Warda akigonga glas na dada wayke Dida
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Ngepengele cha zawadi Warda alitinga gauni hili
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Matangazaji na Somo Maarufu wa Planet Fm Farham Abraham akicheza muziki wa taarabu huku akiwa ameketi
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Mmiliki wa hotel ya B-Z Kulia ambaye ni Sngazi yake Warda akimkabidhi zawadi ya jiko la kisasa Mwanae
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Akikabidhiwa kitanda
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Warda akimshukuru Shangazi yake huyo kwa kupiga goti.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Somo Farha akimtunza mtangazaji mwenzake anyekimbiza naye katika kipindi cha Mcharuko wa Pwani Planet Fm
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Watangzaji Warda,[Kulia]. somo Farhm [kati] na Mtangazaji wa Redio Abood Bi,Rukia Ndege ambaye ndiye aliyekuwa MC katika Hafla hiyo iliyofunika kambaya.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Mwanamintindo Maarufu Mkoa wa Morogoro ambaye pia anamiliki madukaa kadhaa ya nguo za kike na vipodozi Tabu Segumba akiwa na Warda baada ya kumpa zawadi yake
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.

Grece Haule ambaye ni Mkurugezi wa ukumbi wa Nyamatandala anayemiliki pia bendi la Burudani akisema nene kabla ya kummwagia manoti Warda
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
....Grece akimmwagia minoti Warda
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Warda akiwa katika picha ya pamoja na watangzaji wenzake wa Palnet waliongozwa na bosi wao Rehema
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Geiya Silim Mamaaa wa Mji [kushoto] ambaye anamiliki saloon za kike na duka la dawa za asili lililopo Mji Mpya
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Warda na Dida wakipozi mbele ya kamera za Mtandao huu
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
Kipenglee cha chakula Warda alihitimisha kwa kuvaa nguo hii
Image may be NSFW.
Clik here to view.![]()
Clik here to view.
MTANGAZAJI Maarufu wa kituo cha Redio cha Times. FM cha jijini Dar es salaam Dida Shaibu Mwishoni Mwa wiki iliyopita alimwaga razi kwenye shughuli ya kibao kata iliyofanyika nyumbani kwa Mjomba wake Diwani wa Kata ya Tungi kupitia leseni ya Ukawa Juma Tembo anayeishi Tubuyu kata hiyo ya Tungi.
Tukio hilo lilitokea ikiwa ni siku chache kabla ya Warda Makongwa ambaye ni mdogo wa kuzaliwa wa Dida ambaye naye ni Mtangazaji mahiri wa Redio Planet ya Mkoani hapa kufunga ndoa na mtu aliyetajwa kuwa kigogo kutoka Zanzibar ambapo Send off yake inatarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii mkoani hapa.
Katika Sherehe hiyo iliyosheheni Mastaa kibao wa mkoa wa Morogoro iliyoepwa jina la Usiku wa Vyombo Dida kwa furaha ya Mdogo wake kukaribia kufunga ndoa,alijitoa fahamu kwa kucheza kihasara hasa na kuweka ustaa wake kando,ambapo alikata mauono mithiti ya feni na baadae kujitupa kwenye godoro la zawadi la bibi harusi huyo mtarajiwa.
Kitendo hicho kiliwaacha wageni waalikwa midomo wazi kwa halikuwa tukio lililotarajiwa,kabla ya hafla hiyo iliyofanyika mkoani hapa Dida alimfanyia pia mdogo wake huyo sherehe ya Kitchen Party jijini Dar es salaam iliyohudhuriwa na Mastaa kibao