Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Browsing all 2614 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu sahihi kwa Charles Kitwanga juu ya Ndege Mpya za ATCL

CHUMA BLOGNa Rashid ChilumbaCharles Kitwanga mwanasiasa aliyefutwa kazi ya uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa sababu ya ulevi uliopindukia ameibua mjadala wa kichekesho leo katika mitandao ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mapigano makali yanaendelea kati ya polisi na Majambazi, Mkuranga

CHUMA BLOGMapigano makali yanaendelea kati ya polisi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi eneo la Vikindu, wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani.Magari ya polisi (defenda) zaidi ya 16 yakifika eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaagiza Mabasi Mapya 165 ya Mwendokasi

CHUMA BLOGSerikali imeanza mchakato wa kuagiza mabasi mapya 165 ya mwendokasi yatakayotoa huduma za usafiri kwa wakazi Dar es Salaam kwenye maeneo yasiyo na huduma hiyo.Tayari imeshatangaza zabuni ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Misa ya Jubilei ya Dhahabu (Miaka 50) ya ndoa ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa...

CHUMA BLOG  Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha Josephat Lebulu akiongea na wana familia, waumini na wageni waalikwa katika  Misa ya Jubilei ya Dhahabu (miaka 50) ya ndoa hiyo katika kanisa la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwimbaji Ruby Akimbilia EFM Radio Baada ya Ugomvi wa Maslahi Kati ya Mwimbaji...

CHUMA BLOGPichani Ruby akiwa Kwenye Tamasha la EFMMwimbaji Ruby ambae alikuzwa na kulelewa na Clouds FM Baada ya Kufanya vizuri katika mashindano ya Fiesta Diva Nyota miaka kadhaa iliyopita amejikuta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa na Magufuli wakutana Uso Kwa Uso kanisa

CHUMA BLOGHafla ya Jubilei hiyo imefanyika nyakati za mchana katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa uliopo kando ya kanisa la Mtakatifu Petro-Oysterbay na imetanguliwa na Misa ya shukrani iliyofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trump asisitiza kujenga ukuta kuzuia wahamiaji

CHUMA BLOG Mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump amesema kuwa atabuni mfumo ambao utasaidia serikali ya nchi hiyo kudhibiti uhamiaji.Akizungumza wakati wa kampeni katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lema Aendelea Kugoma kula akiwa mahabusu, Mwanasheria Wake Kufungua Kesi...

CHUMA BLOGMBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), ameendelea kugoma kula kwa siku ya tatu mfululizo tangu alipokamatwa Oktoba 26 mwaka huu, nyumbani kwake mjini hapa, akidaiwa kutoa maneno ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Lipumba uvuliwa uanachama CUF

CHUMA BLOGHabari tulizozipata usiku huu ni kwamba Profesa Ibrahim Haruna Lipumba na wafuasi wake 10 wametimuliwa rasmi uanachama wa Chama Cha Wananchi (CUF) huku wengine wakipewa onyo kali. Inaelezwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Yote YaTnazania Leo Jumapili Agosti 28,2015

CHUMA BLOGChuma Empire

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kwa Umma: Upepo mkali na mawimbi katika maeneo ya ziwa Victoria na Pwani

CHUMA BLOG Chuma Empire

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

King Crazy GK Sasa Kuimba Kama Diamond

CHUMA BLOGRapa kutoka kundi la East Coast, King Crazy GK ameamua kuingia Studio kwa Alonem ambapo amebadili maudhui ya uimbaji wake kutoka kurap na kufanya muziki wa kuimba huku video akiifanya na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WATATU WA CHADEMA WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA UCHOCHEZI

CHUMA BLOGMadiwani watatu wa Chadema na mfuasi mmoja wa chama hicho wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Rombo kwa makosa ya kufanya uchochezi. Madiwani hao, Nicolaus Kimario (Kirio), Anasia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa, Mbowe Watakiwa Kuripoti Polisi

CHUMA BLOGViongozi waandamizi wa Chadema akiwamo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana walikamatwa na Jeshi la Polisi wakati wakiwa katika kikao cha ndani katika Hoteli ya Giraffe mkoani Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKUTA Wazidi Kuvunjika Hata Kabla ya Tarehe 1 Septemba, Katibu wa Chadema...

CHUMA BLOGKatibu wa Chadema Mkoa wa Mwanza John Thobius Nzwalile amejiuzulu nafasi zake ndani ya chama hicho na kuhamia CCM kutokana na kukerwa na oparesheni UKUTA ambayo imelenga kuleta vurugu nchini....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANAPA KUTUMIA TUKIO LA KUPATWA KWA JUA KUFUNGUA LANGO LA PILI LA KUINGIA...

CHUMA BLOGMkuu wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya ,Reuben Fune akiangalia jua kwa kutumia kifaa maalum ambacho kinachuja mwanga ili usiweze kuathiri macho kifaa hicho kitatumika katika tukio la kupatwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: CHADEMA WASITISHA MAANDAMANO YA UKUTA

CHUMA BLOGChama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesitisha maandamano ya UKUTA ambayo yalipangwa kufanyika Septemba 1 (kesho) baada ya kupokea maoni mbalimbali kutoka kwa viongozi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afande Sele Mikononi Mwa Polisi Morogoro

CHUMA BLOGMsanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amedai anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro kwa madai anagawa pesa kwa watu ili kuwashawishi wajitokeze katika maandamano ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndege za Kivita za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Zikivinjari Anga la...

CHUMA BLOGJeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kesho Septemba Mosi litaadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwa jeshi hilo. Katika maadhimisho hayo, jeshi hilo limeeleza kuwa litaadhimisha miaka 52 kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz Anunua Rolls Royce ya $400,000 na zaidi?

CHUMA BLOGHuenda Diamond Platnumz akawa ameitimiza ndoto aliyokuwa nayo kwa miaka mingi – kumiliki gari alipendalo zaidi, Rolls Royce.Kwa muda mrefu, staa huyo amekuwa akisema kuwa hilo ndilo gari...

View Article
Browsing all 2614 articles
Browse latest View live