Quantcast
Channel: CHUMA BLOG
Browsing all 2614 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYABIASHARA APANDISHWA KIZIMBANI KWA KUMTISHIA RAIS MAGUFULI

CHUMA BLOGMFANYABIASHARA Leonard Materu (31) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kutuma ujumbe wa kumtishia Rais John Magufuli kupitia mtandao wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mastaa wa Marekani waliodai wataihama Nchi Hiyo Donald Trump Akishinda

CHUMA BLOGOrodha kubwa ya mastaa wa Marekani imeapa kuihama nchi hiyo iwapo Donald Trump atashinda uchaguzi na kuwa rais.Iwapo mgombea huyo wa chama cha Republican akishinda, mastaa kama Jon Stewart,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA NDANI NA NJE YA TANZANIA LEO ALHAMIS,SEPT 08,2016

CHUMA BLOG      TANZANIA KENYA UK Chuma Empire

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAZI WA JIJI LA DAR AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA MOROGORO.

CHUMA BLOGKamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Urlich Matei (kushoto), akiwaonyesha waandishi wa habari magunia ya bangi yaliyokamatwa katika eneo la Mindu. JESHI la Polisi mkoani Morogoro,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMEONE AONGOZA MBELE YA ZIDANE, TUZO YA KOCHA MWENYE HESHIMA NCHINI HISPANIA

CHUMA BLOGMakocha Zinedine Zidane na Diego Simeone wanaongoza kwenye jura za makocha wenye heshima kubwa kwenye La Liga nchini Hispania.Makocha hao, wamepata jura nyingi zaidi kupitia mtandao katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA UJENZI WA MAKAZI MAPYA...

CHUMA BLOGWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa makazi mapya ya Waziri Mkuu katika eneo la Mlimwa na kuagiza umalizike kwa wakati ili aweze kuhamia kama alivyoahidi.Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina ya Watu 4 Matajiri zaidi Tanzania

CHUMA BLOGUchumi mkubwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unategemea zaidi kilimo kwa takriban asilimia 25 ya GDP na asilimia 85 Exports. Aidha, Tanzania ina madini kama dhahabu, almasi, makaa yam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakimu 11 Wafukuzwa Kazi, Wengine 30 Kikaangoni

CHUMA BLOGWATUMISHI 34 wa mahakama wakiwemo mahakimu 11, wamefukuzwa kazi kutokana na makosa mbalimbali ya kinidhamu.Aidha, Tume ya Utumishi wa Mahakama inaendelea kujadili hatma ya mahakimu 30,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA,SEPT 09,2016

CHUMA BLOG TANZANIA UKChuma Empire

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KR Mulla:Nipo Tayari Kurudi TMK Wanaume Family

CHUMA BLOGKR Muller amesema kama angetaka kurudi TMK Wanaume Family kwa Juma Nature angekuwa amerudi kwa kuwa hakuna aliyemfukuza.Rapper huyo ambaye kwa sasa yupo ‘Rada Entertainment’ kwa TID,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODA BODA AGONGA MTI NA KUFALIKI HAPO HAPO MOROGORO

CHUMA BLOGWananchi wakiuangalia mti huo ukiwa katikati ya barabara ya Mazimbu  Muonekano wa pikipiki  Muonekana wa boda boda ya Marehemu kwa nyumba yenye namba za usajiri MC 673 AXE Baada ya kuanguka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJIBU YA WAZIRI MKUU BUNGENI

CHUMA BLOGI  Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inaendelea kukutana na wadau tofauti wanaohusika na masuala ya uchumi katika kuhakikisha uchumi wa nchi unaendelea kukua. Hayo yamesemwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MEXICO AJIUZULU KUPINGA ZIARA YA TRUMP

CHUMA BLOGImage captRais wa Mexico Enrique Pena Nieto na mgombea urais kwa tiketi ya chama cha RepublicanWaziri wa Fedha nchini Mexico, Luice Videgaray amejiuzulu wadhifa wake wiki moja baada ya ziara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa Lipumba Asema Hana mpango wa kuhama CUF wala kuanzisha chama Kingine,...

CHUMA BLOGAliyekuwa mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema hana mpango wa kuhamia chama chochote.Aidha amesema hana mpango wa kuanzisha chama chake kwa kuwa yeye bado ni Mwenyekiti halali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Rwakatare awatoa wafungwa 12 gereza la Keko

CHUMA BLOGMchungaji wa kanisa la Mikocheni B Assemblies of God, Askofu Dr Getrude Rwakatare, amewatoa wafungwa 12 waliokuwa wamefungwa kwenye gereza la Keko jijini Dar es Salaam huku lengo ni kuwatoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Travellah Aeleza Alivyoteswa na 'Natafuta Kiki'..Amponda Director Hascana

CHUMA BLOGMwongozaji wa video za muziki kutoka Kwetu Studio Msafiri a.k.a Travellah amesema kuwa video mpya ya Rayvanny "NATAFUTA KIKI" ni video iliyompa wakati mgumu zaidi kuitengeneza.Akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwimbaji Linah Amnyakuwa Idriss Sultan Kutoka Kwa Wema Sepetu...Yadaiwa...

CHUMA BLOGKipindi cha Nyuma Linah sanga aliingia Bifu zito baada ya Kuibiwa Bwana na Wema Sepetu ambapo alilalamika sana kwenye vyombo vya habari hasa Radioni... Hivi karibuni Linah na Mpenzi wa Wema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

COUTINHO NDANI YA UWANJA WA UHURU

CHUMA BLOGAkiwa jukwaani tayari kwa kushuhudia timu yake ya zamani yanga wakivheza na majimajiChuma Empire

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nilikunywa Pombe Kutoa Aibu Kwenye Video ya ‘Natafuta kiki’-Shilole

CHUMA BLOGMsanii wa muziki wa bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amefunguka na kusema ilikuwa ni jambo gumu kwake kufanya video ya ‘Natafuta kiki’ ya msanii Raymond.Msanii Raymond akiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Operesheni Dadapoa, Kakapoa Dar es Salaam Yashika Kasi

CHUMA BLOGJESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema linafanya operesheni ya kuwakamata wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanaofanya biashara kinyume cha sheria.Taarifa iliyotolewa na...

View Article
Browsing all 2614 articles
Browse latest View live